Vijana 60,000 wanapowania nafasi 1,000 za ajira

Tunahitaji kujengeana ujasiri kuwa maisha yanaweza endelea kuliko kusindikiza Mwenge kwenye chambers za UDOM!
Tatizo kiongozi vijana huo ujasiri hawana. Wanafikiria tu vitu vyepesivyepesi. Huwezikuwa unawaza vizuri ukahudhuria usaili wa shortlisted watu 11,000 wakati nafasi zinatakiwa 20. Mtawamaliza mitume na manabii,mtakula sana asali na maji ya upako lakini bado ngoma itaendelea kuwa ngumu. Fanya maamuzi magumu anza na vimiradi vidogovidogo mtatoboa. Hata Mungu alianza kumuumba mtu mmoja la dunia ina mabilioni ya watu.
 
CCM imeishiwa ubunifu..wanawaza kuiba uchaguzi tu. Na kuiba 10% Watu wenye akili timamu hawawezi wakanunua mandege ya matrillioni halaf wayapaki tu hayaendi popote. Na bado wanayaongeza!
Hio tilioni moja ilitosha kabisa kumaliza tatizo la ajira nchini kupitia kilimo
 
Zifanyike juhudi za maksudi kutumia mabonde na mashamba makubwa ya chai,tumbaku,mpunga,mahindi,mboga mboga,uvuvi,miti na hata ufugaji kuwaingiza ajira vijana humo kwa serikali kuwasapoti kwa kununua matrekta mengi kujenga kambi kwa maana ya nyumba nyingi jirani na mashamba hayo mikoani, kuwawekea huduma zote muhimu za hospital,shule,mabenki nk,vijana wazalishe mazao yachakatwe serikali ifanye export.
Vijengwe vyuo kwanza vijana wapate hayo maarifa.
 
Let's say,
Pato la Serikali kwa mwaka = Tshs (mfano) 10,000,000/=
Vijana wanaotaka ajira 1,000,000.
Wastani mshahara kwa kijana mmoja= Tshs 1,000/=
Sasa: 1,000/= × 1,000,000 = Tshs 1,000,000,000/=
Tafakarini jambo hilo!
 
All I wanna say is that, They don't real Care about us - Michael Jackson

Wanasiasa hawataleta ugali, zaidi ya kubana njia zako za kupata ugali.
 
Natamani serikali ingekua inatoa ajira hata kwa njia ya lottery kama green visa za majuu ili kupunguza tatizo la ajira
Haita solve tatizo, idadi ya watakao ajiliwa haitaongezeka : kama ziliitajika nafasi 100, watachukuwa hao hao 100 haijalishi ni wangapi wameapply.

Vijana hapo wana option kadhaa ,

mfano kwenda nje ya nchi kutanua wigo wa kusaka ajira bila ya kuchaguwa kazi au,

Kujiajiri ..
Inabidi wasambae tu mataifa ya mbali lwenyr harakati za kutafuta...

Mfano nigeria imewalazimu wasmbaratike kusaka life kila kona ya dunia wapo wengi ..

hii inachangiwa na matatizo kama ya ajira.. ukizingatia nigeria inaongoza kwa idadi kubwa sana ya watu hapa africa.!

Hahaha mkuu umepata green card, Dv lottery ?
 
Bora iwe hivyo kuliko kuacha kuajiri kabisa kwa kisingizo pesa hamna wakati pesa zinachezewa tu na wachache

Mmh hata sijui inachezwaje
Haita solve tatizo, idadi ya watakao ajiliwa haitaongezeka : kama ziliitajika nafasi 100, watachukuwa hao hao 100 haijalishi ni wangapi wameapply.

Vijana hapo wana option kadhaa ,

mfano kwenda nje ya nchi kutanua wigo wa kusaka ajira bila ya kuchaguwa kazi au,

Kujiajiri ..
Inabidi wasambae tu mataifa ya mbali lwenyr harakati za kutafuta...

Mfano nigeria imewalazimu wasmbaratike kusaka life kila kona ya dunia wapo wengi ..

hii inachangiwa na matatizo kama ya ajira.. ukizingatia nigeria inaongoza kwa idadi kubwa sana ya watu hapa africa.!

Hahaha mkuu umepata green card, Dv lottery ?
 
Registered nurses wanalipwa kiasi gani per year

Walio na experience for at least 5 years wanapata mpaka £35,000 per year
Ila uwe umefanya hapa kwa mda
Kwa kuanzia chini ya 6m ya Tz - £1800
Asilimia kubwa ni umri mkubwa yaani chini ya 30 sio wengi sana

Karibu huku upige hela
 
Walio na experience for at least 5 years wanapata mpaka £35,000 per year
Ila uwe umefanya hapa kwa mda
Kwa kuanzia chini ya 6m ya Tz - £1800
Asilimia kubwa ni umri mkubwa yaani chini ya 30 sio wengi sana

Karibu huku upige hela
Kazi za Tech hapo uk chngamoto kidogo mkuu??

Labda kama kuna mishe nyingine ?
 
Kazi za Tech hapo uk chngamoto kidogo mkuu??

Labda kama kuna mishe nyingine ?

Hapana, kila kazi zipo na kuna zingine watu wanazifanya kutokana na work experience na sio Chuo tu ndio inawatoa watu
Halafu demand ni kubwa sana

Jana Bungeni kuna mbunge ameishauri tena kwa jazba kuwa ni lazima wakimbizi wa Ukraine wapewe access ya kuja hapa kwani tunahitaji watu bado

Kila kazi ukitaka ipo kuna kijana alikuwa ni msaidizi wa mzee mmoja kufunga cctv mzee ni retired sasa
Kijana anaifanya ila yeye kajiongeza na akili ya ujana sasa anaagiza mzigo mkubwa toka China na anafanya vizuri sana

Kazi zina changamoto zake lakini ndio kawaida
 
Hii ndio imepelekea wengine walioomba hizi kazi hasa za TRA kuitwa usaili huku taarifa zisifikie kwa anuani sahihi walizoweka? Simu na barua pepe?
 
Hapana, kila kazi zipo na kuna zingine watu wanazifanya kutokana na work experience na sio Chuo tu ndio inawatoa watu
Halafu demand ni kubwa sana

Jana Bungeni kuna mbunge ameishauri tena kwa jazba kuwa ni lazima wakimbizi wa Ukraine wapewe access ya kuja hapa kwani tunahitaji watu bado

Kila kazi ukitaka ipo kuna kijana alikuwa ni msaidizi wa mzee mmoja kufunga cctv mzee ni retired sasa
Kijana anaifanya ila yeye kajiongeza na akili ya ujana sasa anaagiza mzigo mkubwa toka China na anafanya vizuri sana

Kazi zina changamoto zake lakini ndio kawaida
Inawezekana hawa wa U.K issue ya covid na Brexit ili wa athiri sana ...

maana mwanzo watu kutoka nchi nyingine EU kama ukrain ,poland walikuwa wakienda kufanya kazi hapo wananchi walikuwa wakicomplain immigrant wanafanya kuwe na gharama ya makadhi,pamoja na kuwachukulia kazi zao...

watu wengi wa Eu walikuwa wakijihisi kutengwa na ilivyokuja brexit imechangia zaod wao kutokqenda u.k kufanya kazi ambazo wazawa hawawezi fanya wether kipato kidogo, au ni za chini
 
Inawezekana hawa wa U.K issue ya covid na Brexit ili wa athiri sana ...

maana mwanzo watu kutoka nchi nyingine EU kama ukrain ,poland walikuwa wakienda kufanya kazi hapo wananchi walikuwa wakicomplain immigrant wanafanya kuwe na gharama ya makadhi,pamoja na kuwachukulia kazi zao...

watu wengi wa Eu walikuwa wakijihisi kutengwa na ilivyokuja brexit imechangia zaod wao kutokqenda u.k kufanya kazi ambazo wazawa hawawezi fanya wether kipato kidogo, au ni za chini

Kweli Covid ilituathiri sana hapa
Ila sio nchi zote za Eastern Europe ni wanachama ila wengi waliingia na kufanyakazi hapa
Na wengi walikuja na wake zao au gf wao na ni wachapakazi haswa

Wengi walikuwa na malengo y kufanya kazi kwa nguvu zote kukusanya hela na kurudi makwao na kufanya kama ni biashara au kujenga nyumba zao

Sasa Brexit ndipo wakaondoka wengi sana na kutokea upungufu wa wafanyakazi wa sekta nyingi sana
Especially truck drivers Na hospitali

Walitengwa na kuchukiwa kwa umafia wao ni majizi balaa yaani Africa cha mtoto halafu kodi walikwepa sana

Wao mchana kweupe Oxford street wanavamia duka la dhahabu na kupora ni jambo la kawaida

Kuiba mpaka waya za relini au yale machuma yanayowekwa barabarani kwa access ya underground works walibeba sana na kuuza kama chuma chakavu

Mambo ambayo hatukuwahi kuyaona tuliyashuhudia

La mwisho Ulaya kila mwaka wanahitajika watu ili wazibe pengo la ajira hapa
Kwa hiyo wakimbizi ni lazima wapewe fursa waje pia culture nyingi za tofauti zinaleta biashara nyingi pia ambazo hujaziona
 
Kweli Covid ilituathiri sana hapa
Ila sio nchi zote za Eastern Europe ni wanachama ila wengi waliingia na kufanyakazi hapa
Na wengi walikuja na wake zao au gf wao na ni wachapakazi haswa

Wengi walikuwa na malengo y kufanya kazi kwa nguvu zote kukusanya hela na kurudi makwao na kufanya kama ni biashara au kujenga nyumba zao

Sasa Brexit ndipo wakaondoka wengi sana na kutokea upungufu wa wafanyakazi wa sekta nyingi sana
Especially truck drivers Na hospitali

Walitengwa na kuchukiwa kwa umafia wao ni majizi balaa yaani Africa cha mtoto halafu kodi walikwepa sana

Wao mchana kweupe Oxford street wanavamia duka la dhahabu na kupora ni jambo la kawaida

Kuiba mpaka waya za relini au yale machuma yanayowekwa barabarani kwa access ya underground works walibeba sana na kuuza kama chuma chakavu

Mambo ambayo hatukuwahi kuyaona tuliyashuhudia

La mwisho Ulaya kila mwaka wanahitajika watu ili wazibe pengo la ajira hapa
Kwa hiyo wakimbizi ni lazima wapewe fursa waje pia culture nyingi za tofauti zinaleta biashara nyingi pia ambazo hujaziona
Duh.. aisee nimekupata vyema mkuu,

Tunafanyake kuingia huko ... njia rahis ya kupata visa, work permit alna hatimae permanent residence??
maana hata canada naona bado uhaba umeongezeka pia wa wawfanyakazi hafi sasa wamepunguaza masharri kama yale ili kampuni iweźe kuajiri immigrants basi ni lazima wawe na " LMIA "
 
Duh.. aisee nimekupata vyema mkuu,

Tunafanyake kuingia huko ... njia rahis ya kupata visa, work permit alna hatimae permanent residence??
maana hata canada naona bado uhaba umeongezeka pia wa wawfanyakazi hafi sasa wamepunguaza masharri kama yale ili kampuni iweźe kuajiri immigrants basi ni lazima wawe na " LMIA "

Watu watakuambia ni ngumu kuingia ila penye nia pana njia
Ukiamua kuvuka mipaka unavuka kama na income ipo

Njia nyingi hata kama kuja kusoma halafu unazamia mazima
Ni hela nyingi za kupita ila kama unazo utakuja tu
 
Watu watakuambia ni ngumu kuingia ila penye nia pana njia
Ukiamua kuvuka mipaka unavuka kama na income ipo

Njia nyingi hata kama kuja kusoma halafu unazamia mazima
Ni hela nyingi za kupita ila kama unazo utakuja tu
Nimkeupata mkuu ishu kubwa hapa ni pesa za kutosha au uombe scholarship au ujilipie mwenyewe chuo.. !
 
Back
Top Bottom