Elections 2010 Vigogo wastaafu kuingia uwanjani kumwokoa JK

Baija Bolobi

JF-Expert Member
Feb 25, 2009
1,093
1,726
Wana JF

Sambamba na matokeo ya kuchakachua kutoka REDET, habari zilizoingia kwenye dish langu muda mfupi uliopita, zinasema wastaafu wameombwa na kubembelezwa sana kuingia kwenye kampeini kumwokoa JK ambaye hali yake ni mbaya. Kazi ya kubembeleza imefanywa na Makamu M/Kiti wa CCM (Bara), Mzee Msekwa na amenitonya leo mchana kuwa wazee wanaingia kuanzia wiki ijayo. Waliokubali japo kwa shingo upande ni FTS, BWM, AHM, na of course EL.

Waliokataa ni JSW na SAS.

Mzee JSM amekubali kwenda baadhi ya majimbo, siyo kwa kumnadi mgombea urais.

Inaonekana mkwala wa Redet unalenga kuwapa pa kuanzia katika kampeini zao, na mapolisi wameagizwa wahakikishe wazee hawazomewi.

Nionavyo mimi: La kuvunda......
 
Wana JF

Sambamba na matokeo ya kuchakachua kutoka REDET, habari zilizoingia kwenye dish langu muda mfupi uliopita, zinasema wastaafu wameombwa na kubembelezwa sana kuingia kwenye kampeini kumwokoa JK ambaye hali yake ni mbaya. Kazi ya kubembeleza imefanywa na Makamu M/Kiti wa CCM (Bara), Mzee Msekwa na amenitonya leo mchana kuwa wazee wanaingia kuanzia wiki ijayo. Waliokubali japo kwa shingo upande ni FTS, BWM, AHM, na of course EL.

Waliokataa ni JSW na SAS.

Mzee JSM amekubali kwenda baadhi ya majimbo, siyo kwa kumnadi mgombea urais.

Inaonekana mkwala wa Redet unalenga kuwapa pa kuanzia katika kampeini zao, na mapolisi wameagizwa wahakikishe wazee hawazomewi.

Nionavyo mimi: La kuvunda......

wacha waingie lakini wasilalamike wakirushiwa makombora Shimbo mwenyewe katulia anajuta kuingia.
 
Walisema wakizidiwa wataomba wazee wasaidie, sasa watakuwa wamekubali mambo mazito lakini hatudanganyiki. Waliokubali wote wana kashfa wataumbuka na watazomewa, wangekaa kimya kutunza heshima zao.
 
Tatizo nilionalo hao wote waliorodheshwa wan kashfa nzito ambazo wananchi wangelipenda utawala mpya wa Dr. SLaa uzishughulikie haraka iwezekanavyo bila kuchelea.

Kwa kujito mhanga watutasaidia katika kuchokonoa vidonda vilivyoanza kupona. Ningewashauri waanze leo kwa jitihada zote zile wawezazo.

Naelewa JK anakerwa kuona ni familia yake tu ndiyo inachanja mbuga lakini kula si anakula mwenyewe na wapambe wake wachache tu na hivi majuzi alinena uraisi ni suala la kifamilia.
 
kazi wanayo mwaka huu. nasikia mama salma ameshachonga fimbo ili aitumie baada ya uchaguzi.
 
Wana JF

Sambamba na matokeo ya kuchakachua kutoka REDET, habari zilizoingia kwenye dish langu muda mfupi uliopita, zinasema wastaafu wameombwa na kubembelezwa sana kuingia kwenye kampeini kumwokoa JK ambaye hali yake ni mbaya. Kazi ya kubembeleza imefanywa na Makamu M/Kiti wa CCM (Bara), Mzee Msekwa na amenitonya leo mchana kuwa wazee wanaingia kuanzia wiki ijayo. Waliokubali japo kwa shingo upande ni FTS, BWM, AHM, na of course EL.

Waliokataa ni JSW na SAS.

Mzee JSM amekubali kwenda baadhi ya majimbo, siyo kwa kumnadi mgombea urais.

Inaonekana mkwala wa Redet unalenga kuwapa pa kuanzia katika kampeini zao, na mapolisi wameagizwa wahakikishe wazee hawazomewi.

Nionavyo mimi: La kuvunda......

Mkuu kwanza asante
Ninajiuliza
1. Hawa FTS, BWM, AHM wamekuwa sehemu ya familia ya JK? Maana urais wa JK ni wa familia labda EL amekuwa sehemu tayari kwa osmosis
2. Hao polisi wanaoagizwa kudhibiti wananchi ni wale wanaolala kwenye nyumba za bati na kuishi kwa rushwa ya buku 2 au ni wanajeshi wa Shimbo?

-Nashukuru hatimaye wametuletea Mkapa aje ajibu tuhuma zinazomkabili.
-Mwinyi inabidi awe makini maana ile ya kupigwa kofi haikuwa ishara nzuri
-Sumaye duh nitasubiri atakachosema
-Lowassa ndo atakuja na tulilia pamoja, sijui tulisimangwa pamoja sana tuchague pamoja...kwi kwi kwiiii
 
Jamani na sisi tuongeze nguvu kuwa saidia CHADEMA kwa michango...maana Arusha tunasema wao wana pesa sisi tuna mungu tutashinda...kwa kuwakubusha andika CHADEMA tuma kwenda 15710 mchango wako ni mhimu sana...
 
Mkuu kwanza asante
Ninajiuliza
1. Hawa FTS, BWM, AHM wamekuwa sehemu ya familia ya JK? Maana urais wa JK ni wa familia labda EL amekuwa sehemu tayari kwa osmosis
2. Hao polisi wanaoagizwa kudhibiti wananchi ni wale wanaolala kwenye nyumba za bati na kuishi kwa rushwa ya buku 2 au ni wanajeshi wa Shimbo?

-Nashukuru hatimaye wametuletea Mkapa aje ajibu tuhuma zinazomkabili.
-Mwinyi inabidi awe makini maana ile ya kupigwa kofi haikuwa ishara nzuri
-Sumaye duh nitasubiri atakachosema
-Lowassa ndo atakuja na tulilia pamoja, sijui tulisimangwa pamoja sana tuchague pamoja...kwi kwi kwiiii
Sumaye jukwaani akimna JK duh hii kali naisubi hiyo siku ikifika, na kama Lowasa ataanze kumnadi jamaa yake wajue kura zitazidi kupungua kwa CCM maana hata watu wanao unga mkono tume ya Mwakyembe waliko CCM najua tutawapata wote...
 
Kinana alisema CCM haitawatumia wazee hadi hapo watakapo zidiwa atueleze kama sasa wameshazidiwa. Ni bora waje ili Slaa aongeze vocabulary kwenye kampeni yake maana alikuwa anaogopa kuwataja atambiwa hana adabu kwa wazee sasa atakuwa na uwezo wa kumuuliza Mkapa kama amekuja na malipo ya wafanyakazi wa Kiwira.
 
Wana JF

Sambamba na matokeo ya kuchakachua kutoka REDET, habari zilizoingia kwenye dish langu muda mfupi uliopita, zinasema wastaafu wameombwa na kubembelezwa sana kuingia kwenye kampeini kumwokoa JK ambaye hali yake ni mbaya. Kazi ya kubembeleza imefanywa na Makamu M/Kiti wa CCM (Bara), Mzee Msekwa na amenitonya leo mchana kuwa wazee wanaingia kuanzia wiki ijayo. Waliokubali japo kwa shingo upande ni FTS, BWM, AHM, na of course EL.

Waliokataa ni JSW na SAS.

Mzee JSM amekubali kwenda baadhi ya majimbo, siyo kwa kumnadi mgombea urais.

Inaonekana mkwala wa Redet unalenga kuwapa pa kuanzia katika kampeini zao, na mapolisi wameagizwa wahakikishe wazee hawazomewi.

Nionavyo mimi: La kuvunda......

Unajua Zaidi ya Mwl. Julius K. Nyerere, ndani ya CCM hakuna wa kuweza kuwabadili Watanzia. Watu hawajamchoka Kikwete tu bali hakuna ambacho CCM wanaweza kujivunia, hata hao waliopita. Embu fikiria watakuja na hoja gani? Je ni kivipi kwa mfano wanaweza kumsafisha Kikwete na tuhuma za Ufisadi? Je unafikiri Mkapa anaweza kwenda Kiwira?

Kwa vile hawana cha kujivunia katika maisha ya mwananchi wa kawaida Haitakuwa na impact. Chadema wawatupie tu makombora ya madudu waliyofanya wakati wa uongozi wao!
 
JK alidharau wakunga wakati uzazi ungalipo..... Nakumbuka baada ya ushindi wa kimbunga wa 2005, JK alifanikiwa kwa kiasi kikubwa kuzisambaratisha kambi za wapinzani wake, hususan za SAS na FTS!!! Utawala wake ukaendekeza umakundi usio na tija kwa taifa...maana wanasiasa ambao walikuwa na uwezo wa uongozi walinyimwa nafasi za uwaziri kisa eti walikuwa wafuasi wa wapinzani wake... Akaishia kuchagua mawaziri vihiyo(e.g., SS) ambao hatimaye wamemfikisha hapo alipo!!!!!! Mbaya zaidi majuzi tu hapa Makamba na REDET wakamjaza ujinga uliokubuhu(eti JK ni maarufu kuliko chama kilichompa mamlaka)!!!! Hiyo ndio ikampa kiburi cha kudiriki kuteua JK family members wampigie kampeni baba yao......shame ...shame...shame...... Mwisho ndio huu hapa... wakunga waliodharauliwa zamani sasa wanahitajika kuokoa jahazi......

Hebu tusubiri tuone mwisho!!!
 
jahazi lilishazama . Wataokoa maiti au. Na waje waone moto ulivyo mkali.
 
Yatakuwa makosa makubwa sana kwa JK na CCM kuwatumia wazee hao. Alichotakiwa JK kufanya ni rahisi sana ila kama walivyosema wakongwe JK kiburi sana na ujana bado unamsumbua.

JK ameshindwa kukubali mapungufu yake kiroho na hakika kama angeweza kuyakabiri mapungufu yake na kuyafanyia kazi mapema sidhani kama kungekuwa na Upinzani mkali kama huu.

Kikubwa zaidi ni pale alipolazimisha kusimamisha watu wa Lowassa dhidi ya chaguo la wananchi hali akijua fika kwamba wagombea hawa wana scandals kubwa sio tu kitaifa bali hadi ktk majimbo yao wanayogombea..
 
Some time intended message haifiki yote kwa walengwa kwa haraka. Mkuu naomba let me decode for others wanaoweza kukkwama kwa amuda kuwatambua
i guess
FTS= Fredrick Sumaye
BWM= Benjamin Wiliam Mkapa
AHM= Ali Hassan Mwinyi
JSM= John Samwel Malechela
SAM = Salim Ahmed Salim

What about JSW= Joseph Sinde warioba yuko chama gani
 
Wasiende jimbo la Mbulu.

Waache hata huko waende! Hujasikia jamaa yao alivyopigiwa mayowe ya MWIIIIZIIIIIIIIIIII PIGA HUYO MWIZIIIIIIIIIIIIIIII!!!!!!!!! WENYEWE TUTAWASIKIA. HEBU WASHAURINI HAO WAZEE WAPUMZIKE WAJILIE PENSION ZAO!!!! YA NINI KUSUMBUKIA JK FAMILY?? NA MTU WAO MWAKA HUU HABEBEKI TUTAWAONA NGOJA WAJE!!!!!
 
Back
Top Bottom