Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 116,441
- 215,220
Baada ya Rais mpya kuamuru vyombo vya habari vilivyofungiwa kwa chuki na husda vifunguliwe , baadhi ya vyombo hivyo vimaeanza kufika wizarani ili kufahamu hatma zao .
Leo ilikuwa zamu ya Tanzania Daima kuonana na Waziri Bashungwa ili kutatua utata kuhusiana na Gazeti hilo kufutiwa leseni kutokana na chuki tu za awamu iliyopita , kuna taarifa kwamba mazungumzo kati ya Uongozi wa Tanzania Daima na Waziri yamefikia pazuri .
Leo ilikuwa zamu ya Tanzania Daima kuonana na Waziri Bashungwa ili kutatua utata kuhusiana na Gazeti hilo kufutiwa leseni kutokana na chuki tu za awamu iliyopita , kuna taarifa kwamba mazungumzo kati ya Uongozi wa Tanzania Daima na Waziri yamefikia pazuri .