KIRING'OTI
Member
- Oct 5, 2011
- 7
- 0
Salaam Sana Wadau wa Jf, Najikaribisha JF kwa uzi huu.
Lile sakata la kutorosha sukari kwenda nchi jirani ya Kenya limefika patamu hapa kwenye jimbo la Waziri wa Kilimo na Chakula. Marafiki zake ndio wasafrishaji wakubwa wa bidhaa hiyo inayotumiwa na kila Mtanzania. Tazama attachment hizi halafu tujadili. Huyu Bwana Maghembe amemfungia Leseni Marenga Investment ambaye ndo alikuwa mkombozi wa watu kwa kuuza sukari kwa bei tunayoimudu kumbe ni ili jamaa zake wairushe ng'ambo.
Lile sakata la kutorosha sukari kwenda nchi jirani ya Kenya limefika patamu hapa kwenye jimbo la Waziri wa Kilimo na Chakula. Marafiki zake ndio wasafrishaji wakubwa wa bidhaa hiyo inayotumiwa na kila Mtanzania. Tazama attachment hizi halafu tujadili. Huyu Bwana Maghembe amemfungia Leseni Marenga Investment ambaye ndo alikuwa mkombozi wa watu kwa kuuza sukari kwa bei tunayoimudu kumbe ni ili jamaa zake wairushe ng'ambo.