Jayfour_King
JF-Expert Member
- Nov 15, 2009
- 1,135
- 128
Naamini hizi tunazolalamikia kwamba ni shida za maisha zinazoletwa na haw viongozi wetu, sisi kama watanzania hazijatutosha! Siku zikitutosha tutachukua hatua, na tafsiri ya hii ni pale ambako kuishi na kufa vinafanana hapo itakuwa mpaka kieleweke.Wapo baadhi ya watanzania wenzetu wanafanya mambo maovu lakini baya zaidi ni idadi kubwa ya watanzania wema wanaoshuhudia maovu na kubaki kimya bila kuchukua hatua yoyote. Ni vema tukaamua kutowafumbia mambo waovu wote naamini tukimaanisha tuyasemayo haki itaishinda dhuluma.