satellite
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 616
- 164
Sugu na Mnyika?hapa sidhani kama hawa wako seriously nilitegemea watu kama hawa wawe wa mwishoni maana uhakiki wao utakua mwepisi ukilinganisha na Lowasa,chenge,Sumaye,Mkapa,Mwinyi,Mboma,Mwamunyange,mkuchika,dr.nchimbi,brandina nyoni,kalamagi,msabaha,Jairo,Ruhanjo(aliyekua katibu kiongozi),endeleza list hapo...........