mbongo_halisi
JF-Expert Member
- Apr 16, 2010
- 6,607
- 4,902
Na bado wanakula pension mpaka leo kwa kazi zilizotukuka.
Kwa hapa Magufuli anatupiga chenga.
Na bado wanakula pension mpaka leo kwa kazi zilizotukuka.
KabisaKwa hapa Magufuli anatupiga chenga.
Na Mamvi aka bwana mkubwa wa Richmond...Watanzania tunalia na hawa vigogo wafuatao: Mkapa, Kikwete, Yona, Muhongo....lini watakamtwa wakajibu mashitaka yao?
Yona si alishafungwa akamaliza kifungo hadi akapigishwa deki hospital Ya palestina pale sinza ina maana ana msala mwingine
Ova
Makinikia....Yona si alishafungwa akamaliza kifungo hadi akapigishwa deki hospital Ya palestina pale sinza ina maana ana msala mwingine
Ova
Vigogo ni wawili tu!hao ndy waliyiletea tz matatizo Yote hayahata kule chadema mda si mrefu kuna vigogo watajumuika nao.
Na bado wanakula pension mpaka leo kwa kazi zilizotukuka.
Kigogo ni kipande kidogo cha mti uliokatwa.hata mimi hapo nimeshindwa kuelewa
Umeongea points mkuu.Rais Magufuli ajiulize mbona hawa watu hawakuwekwa hatiyani wakati wa uongizi wa Kikwete? Na kwa nini anasema tumuache Rais Kikwete apumuzike amelitumikia taifa hili vizuri sana kafanya kazi nzuri ipi? Wakati Rais Magufuli yuko busy kupanguwa aliyoyacha Rais Kikwete na kuusafisha uchafu aliouacha Kikwete? Ama maneno haya hayatoki moyo ni mwaka? Tunauliza je Kikwete ana haki ya kuendelea kupata pensheni kutumia kodi za Watanzania, Wakati upotevu wa Mali asili na fedha nyingi za Watanzania zimepotea wakati wa uongozi wake?
Na mpemba na aveva vigogo?Acha wabadilishe mazingira
Up and down kwnye maisha ni kitu ya kwwaida
Huko nako watiizedi mbona wapogo
Umeongea points mkuu.
Kikwete na mkapa wanakula pensheni huku taifa likiwa na hasara kubwa halafu asiguswe? Kama kweli Magu ana nia apeleke sheria bungeni viongozi kushtakiwa yoyote yule akiwa madarakani na nje ya madaraka aone! Naona hata yeye mwenyewe hatotoka katika mtego
Eeeh Rumande ni kama hospital mda wowote waweza kwendahabari nyingine hata hazina vichwa wala miguu...Shose Sanare ni kigogo?
Kwani mahabusi ni mahali pa ajabu? mtu yoyote anaweza kuwekwa mahabusu muda wowote hata wewe mleta mada tena bila kosa lolote!
Hizi ni picha tu yaani ni usanii wasomewe mashtaka tujue ukweli!
Hii ni nguvu ya soda kutaka sifa na kuwadhalilisha wengine.
Itakua unzaungumzia wale waliotoka ccm kwenda chadema.Vigogo ni wawili tu!hao ndy waliyiletea tz matatizo Yote haya
Ova
Wale vigogo waliyoostafu ambao hamtaki wasemweeItakua unzaungumzia wale waliotoka ccm kwenda chadema.
Eeeh Rumande ni kama hospital mda wowote waweza kwenda
System ni mbovu haswa, mtu mmoja anaamua anavyopenda.Rais Magufuli ajiulize mbona hawa watu hawakuwekwa hatiyani wakati wa uongizi wa Kikwete? Na kwa nini anasema tumuache Rais Kikwete apumuzike amelitumikia taifa hili vizuri sana kafanya kazi nzuri ipi? Wakati Rais Magufuli yuko busy kupanguwa aliyoyacha Rais Kikwete na kuusafisha uchafu aliouacha Kikwete? Ama maneno haya hayatoki moyo ni mwaka? Tunauliza je Kikwete ana haki ya kuendelea kupata pensheni kutumia kodi za Watanzania, Wakati upotevu wa Mali asili na fedha nyingi za Watanzania zimepotea wakati wa uongozi wake?