ISO M.CodD
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 7,278
- 15,313
Delicate in what sense mkuu kwamba bongo utaliua mapema zaidi? Toa maelezo na vielelezoBarabara za bongo utaiua hii gari mapema sana.
Hili gari lipo delicate kuliko maelezo.
Delicate in what sense mkuu kwamba bongo utaliua mapema zaidi? Toa maelezo na vielelezoBarabara za bongo utaiua hii gari mapema sana.
Hili gari lipo delicate kuliko maelezo.
Mkuu naona hauelewi kinachoongelewa hapa ni CIF iliyowekwa na TRA maswala ya ku uplift hayahusiki mfano ukiangalia beforward BMW 320 ya kuanzia 2005-2010 CIF ya Japan inaanzia $2200-4500 ila gari hio hio kwenye CIF ya TRA ile ya kwenye kikokotoo ni around $2500-2900 swali linakuja inakuaje hio Exiga wameivalue kwa $11,000 kama CIF ya TRA ya kikokotoo wameipata wapi hio bei?Kwa kawaida mitandao ya wauza magari duniani(hasa Japan), haiaminiki. Hivyo gari ya aina moja na umri mmoja inaweza kuuzwa bei tofauti tofauti.
Pia wateja wanaweza kula njama na wauzaji ili 'CIF value' iwe ndogo. Hivyo TRA ilichofanya ni kufanya utafiti na kujiwekea 'CIF value' waliyoifanyia kazi kwa magari mbalimbali ili wasije 'kupigwa' na wafanyabiashara.
Kinachokera ni pale wanapo-'uplift' tena hizi tarakimu baada ya gari kufika Bandarini na taratibu za malipo ya ushuru kuanza.
Hii inaleta wasiwasi kuwa hata kikokotoo chao wenyewe hawakiamini..
Nilitaka kuagiza haka kadude,nilivyouliza ushuru tu nikanyweaView attachment 1267770
Hizo valuation haziwezi kufanyiwa marekebisho kwasasa. Nenda ofisi yoyote ya tra waulize kwann makadirio ya ushuru yapo juu kuliko bei halisi? Wakikupa majibu ya uhakika, najiondoa jf. 90% ya wafanyakazi wa tra hawajui kwann ushuru unakuwa x2_x3 ya bei halisi. Wanapata pesa ndefu kuliko wauzaji.Kweli mpo sahihi hawa TRA Motor Vehicle system hawapo sahihi kabisa hii Model ya Exiga wameiweka kundi la SUV na wanaipiga zaidi ya 20M
labda kwa vile wapo kweny viti tu hawayajui magari yote, wauzaji/ waagizaji na watumiaji wangewahabarisha wabadili hicho kipenele
Wao walipaswa kukadiria bei reasonable, na inayolipika. Watu wangelipa. Lakini wanakadiria bei kubwa mno isiyolipika. Hii inashawishi watu kukwepa kabisa. Kutokulipa hata hiyo kidogo hawaipati.Kwa kawaida mitandao ya wauza magari duniani(hasa Japan), haiaminiki. Hivyo gari ya aina moja na umri mmoja inaweza kuuzwa bei tofauti tofauti.
Pia wateja wanaweza kula njama na wauzaji ili 'CIF value' iwe ndogo. Hivyo TRA ilichofanya ni kufanya utafiti na kujiwekea 'CIF value' waliyoifanyia kazi kwa magari mbalimbali ili wasije 'kupigwa' na wafanyabiashara.
Kinachokera ni pale wanapo-'uplift' tena hizi tarakimu baada ya gari kufika Bandarini na taratibu za malipo ya ushuru kuanza.
Hii inaleta wasiwasi kuwa hata kikokotoo chao wenyewe hawakiamini..
Mkuu ukitaka kushangaa angalia Audi na VW magari ya kuanzia 2009 ushuru wake utakimbia hadi unajiuliza hivi hawa jamaa hawataki watu waendeshe magari ya ulaya au vipi nahisi wengi wao ni watu waluotoka vijijini sana wanaona VW au Audi ni magari ya anasa sana
Mkuu ukitaka uchoke kabisa kuna gari inatwa Lexus IS250 hio ni muendelezo wa Altezza yani gari ya kuanzia 2006 na kuendelea ushuru wake ni mkubwa balaa unaweza hata ukazimiaKweli mkuu, VW Passat ni kama Toyota Corolla tu Ila ushuru wake sio wa kawaida mpaka nashangaa. Nilicheck hata Vauxhall insignia ina ushuru mkubwa kuliko hata Passat nikaona hawa tra ni washamba kabisa.
Nimesema hapo miundombinu ya kitanzania imekaa hovyo sana.Delicate in what sense mkuu kwamba bongo utaliua mapema zaidi? Toa maelezo na vielelezo
Ikisikia wizi ndio huu, gari inauzwa 21m ,ushuru ni mara tatu ya garama ya kununuaHapa ndipo nilipowaheshimu TRAView attachment 1276921View attachment 1276925
wa kutokujua tu, hii ni gari moja natoyota ractis,Nilitaka kuagiza haka kadude,nilivyouliza ushuru tu nikanyweaView attachment 1267770
Me niligiza bmw x3 specification zikionesha ni Wagon kikokotozi kikasema kodi ni 11.7m
Gari imefika nimelia hela naenda kutoa wanakataa kuwa walikosea ile ni SUV SPORT ivyo kodi inaenda mpk 23m nilichoka akili
Serikali isipoangalia TRA wanaweka uzio sana kwenye uingizaji wa magari nchini
Maana hapa nawaza kuagiza gari nyingine ya gharama but na wasiwasi na hawa jamaa
Wao wanaangalia nembo tu mkuuHalafu k
wa kutokujua tu, hii ni gari moja natoyota ractis,