vya kusomea n vingi,,ww unapenda kusomea nn?Mimi nina form four mwaka 2012...
Phy D,
Bios D ,
Geog D,
Kisw D,
Civ D,
Hist F,
Eng F,
Math F,
DIV IV-30
NIKARESEAT 2014
Eng B,
Hist D,
Kisw D,
Civ D,
Geog D,
Chem F,
Math F,
(PASS)
Kwa Matokeo haya naweza soma course gani ndugu zangu....? Maana tangu mwanzo nilikuwa napenda masomo ya sayansi ila ndo ivo..