Duuuh . Ngoja waje wajuzi zaidi yangu katika hili labdaMasaada wa ushauli naombaa mimi nina division 4 ya 32 nina c 1 na d1 sitaki kuludia form four nahitaji chuo kisicho cha ufundi nifanyaje
Duuuh . Ngoja waje wajuzi zaidi yangu katika hili labdaMasaada wa ushauli naombaa mimi nina division 4 ya 32 nina c 1 na d1 sitaki kuludia form four nahitaji chuo kisicho cha ufundi nifanyaje
We ni daktar tyr hongerKwa matokeo haya,naweza kupata chuo kusoma clinical officer?
KISWAHILI-D
GEOG-D
HISTORY-D
B/MATHS-D
CIVICS-C
CHEMISTRY-D
PHYSICS-C
BIOLOGY-C
ENGLISH-C
Ulijaza fomu ya machaguo ya SHULE na VYUO ulivyo maliza mitihani ya kidato cha nne? Kama ulifanya uchaguzi wa TECHNICAL COLLEGE utapangwa kwa urahisi sana ila zaidi yapo sina uhakika ka utapata ufadhili wa serikali mbali ya SELECTION halisi. AsanteJaman naomba msaada wakuu mimi nimesoma science nina D ya phy tu masomo mengine yote gradeC
Je naweza kupata nafasi DIT sponsored by government?
Nimemaliza form four 2021
Naomben msaada kweny hili
Ndio kabisa unasomea.Kwa matokeo haya,naweza kupata chuo kusoma clinical officer?
KISWAHILI-D
GEOG-D
HISTORY-D
B/MATHS-D
CIVICS-C
CHEMISTRY-D
PHYSICS-C
BIOLOGY-C
ENGLISH-C
Kasome advance utafauluNina dvn 1.ya pts 8 ,chem,A,Bios A,phys,B,,math D, nahtaj nahitaj kusoma CO lakn uwezo hom hauruhusu ,,nahitaj mtu wa kunifadhiri ,tafadhali ,,no 0621517440
Haiwezekani,vipi unataka ukasomee kozi gani
Ajira tayari zimetoka, ukikosa kuajiriwa jiajiri mwenyewe ukishindwa nenda kasome diploma ya elimu, kisha unga na degree afu rudi mtaani kusubiri ajira tena.Habari wakuu
Nimehitimu ualimu ngazi ya cheti 2020, je naweza kusomea nini ndani ya elimu kwa kutumia cheti cha ualimu,muda huu nasubiri ajira?
Ingia kwenye website yao...utapata mawasiliano yao.Habari wakuu, tafadhali naomba mwenye namba za chuo cha KILIMANJARO COLLEGE OF HEALTH AND ALLIED SCIENCE kilichopo pale moshi anipatie.
Sawa jiwe.Ingia kwenye website yao...utapata mawasiliano yao.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
cna hakika ngoja waje wajubaNaomba kujua kuna chuo chochote Tanzania kinachotoa diploma ila naweza kusoma online