Hehehehee,je kwa sasa ni nani anaweza kuthubutu kugombea uraisi,hasa kwa kigezo cha kuanzia jimboni kwake????
Je kuna mwanasiasa ambaye yupo tayari kuandika kitabu??-wengi wataandikiwa na maprofesa hawahawa,,,,
huwez msema membe kwa mabaya ni kati ya wawania urais anayekubalika siyo tu kitaifa bali hata kimataifa huyu ndo team uzalendo team tanzania tunayoitaka
si membe wala zitto anayafaa kuwa rais ..labda rais wa bendi