Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,269
- 675
WanaJF naomba mnisadie ni vigezo gani vinatumika katika uteuzi huu
WanaJF naomba mnisadie ni vigezo gani vinatumika katika uteuzi huu
WanaJF naomba mnisadie ni vigezo gani vinatumika katika uteuzi huu
Unauliza vigezo na wakati ushaweka assumption kuwa ni udini? Tayari hiyo inaonyesha where you want to lead this discussion to na wala sidhani una nia ya kweli ya kufahamu. You just want people to support what you already think.
Udini might be one of them, sijakulimit Mwanafalsafa1 you can give more or you can oppose my assumption
kwa kuwa uumeshasema ni udini, make research, kw akuchunguza wateule wa udc na urc na utoe takwimu za dini zao and utendaji wao
Lakini lazima uwe na sababu ya kusema ni one of them. Nini kimekufaya utaje udini na si kingine? Tell us why umeona udini.
Thanks Jamani WanaJF mwenye Takwimu za dini zao hawa udc na urc, unisadie
Ma-RC wako 21 siwajui wote....wengine wataendeleza...sasa sijui kama majina ndio dini...kazi kwako
DAR-William Likuvi
COAST-Hajatt Mrisho
MORO-Saeed Kalembo
DODOMA-James Msekela
TANGA-
LINDI-Aboubakar Meck Sadick
MTWARA-
RUVUMA-
IRINGA-
MBEYA-John Mwakipesile
SUMBAWANGA-Daniel ole Njoolay
KIGOMA-Col Simbakalia
TABORA-Ahmed Mwinyimsa
SHINYANGA-
MWANZA-Abbas Kandoro
KAGERA-
MARA-Col Enos Mfuru
SINGIDA-
MANYARA-Henry Shekifu
ARUSHA-Isidore Shirima
K'MANJARO-Ms Monica Mbega MP
Kwani issue ni dini zao au kwenye hizo nafasi wengi ni wa dini fulani...???Thanks Jamani WanaJF mwenye Takwimu za dini zao hawa udc na urc, unisadie
Pamoja na utetezi mzuri utakao utoa. Nadhani si vema kupendekeza 'bias' unapouliza swali kama hili. Unawafanya wachangiaji makini wasikupe maoni yao. Kama ungetaka kujua vigezo, kikiwemo cha udini, ungeuliza tu vigezo. Kisha wadau wakakupatia wanavyovifahamu. Ukikuta kama cha udini hakipo, hiyo pia ni taarifa pia. Ukikikuta kipo, basi furahia assumption yako. Huenda pia ungeuliza hivi 'Ni nini nafasi ya dini katika uteuzi wa wakuu wa mikoa na wilaya?'. Hapa tungekuelewa kwamba unahusisha dini moja kwa moja.. Kwahiyo wadau wangechangia na kuchambua hoja kulingana na ulizo hilo.WanaJF naomba mnisadie ni vigezo gani vinatumika katika uteuzi huu
weak mada
Very weak indeed.....naturally the President will choose amongs his closest....dini or otherwise
Huyu ndo safari bwana