Tuko
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 11,178
- 7,319
1. Waweke picha.
Tena zionyeshe pande zote, mbele nyuma, kwa pembeni. Kwenye hiyo picha isiwe umefanya make-up (wadada sanasana), na picha ziwe recent - not more than one month tangia zimepigwa
2. Waweke CV
Humo waonyeshe experience yao kwenye mapenz, aliwahi kubreak mioyo ya wangapi, nae alishabrekiwa mara ngapi.
3. Naomba memba muongeze vigezo.
Nasema hivi maana miezi michache iliyopita nilirespond kwenye tangazo la huku lakini kilichonikuta imebaki kuwa siri yangu...
Tena zionyeshe pande zote, mbele nyuma, kwa pembeni. Kwenye hiyo picha isiwe umefanya make-up (wadada sanasana), na picha ziwe recent - not more than one month tangia zimepigwa
2. Waweke CV
Humo waonyeshe experience yao kwenye mapenz, aliwahi kubreak mioyo ya wangapi, nae alishabrekiwa mara ngapi.
3. Naomba memba muongeze vigezo.
Nasema hivi maana miezi michache iliyopita nilirespond kwenye tangazo la huku lakini kilichonikuta imebaki kuwa siri yangu...