Habarini za saizi wana jamii forum,
Ama kwa hakika leo naomba tujadili ni namna gani utaweza kugundua ama kutambua biashara sahihi.
Ni vigezo gani vinatakiwa kuzingatiwa kugundua biashara sahihi ya kufanya itakayokuletea faida na ni biashara zipi hazina tija. naombeni ushirikiano wenu tafadhali jamani.
Ama kwa hakika leo naomba tujadili ni namna gani utaweza kugundua ama kutambua biashara sahihi.
Ni vigezo gani vinatakiwa kuzingatiwa kugundua biashara sahihi ya kufanya itakayokuletea faida na ni biashara zipi hazina tija. naombeni ushirikiano wenu tafadhali jamani.