Boko halal
Senior Member
- May 14, 2014
- 167
- 119
Watanganyika naomba kujua vigezo vilivyotumika kumpa kura Kikwete na kuwanyima hao wengine kura kwa sababu kwangu mimi hana kigezo chochote anachowazidi hao eti watanganyika wengine waliangalia nini kumpigia kura Kikwete.