jameszejie
Member
- Jun 26, 2016
- 17
- 3
Hello wana JF,
Natumaini mko poa na tunaendelea kusapotiana kwenye mambo ya msingi, naombeni ushauri.Nilishakuwa na girlfriend mmoja ambaye nilitumaini anaweza kuja kuwa mke wangu kwa maana nilimpenda sana kutokana na ukarimu na upendo alionionyesha kwa muda huo ingawa kwa upande wangu sikuwa najali sana kwa kuwa nilikuwa bado na mawazo ya kitoto japo nilimzidi girlfriend wangu huyo kwa mwaka mmoja.
Ilifika kipindi akabadilika na mwishowe tukaachana lakini kwa sasa nimekaa na kufikiria kama nitaweza kupata girlfriend ambaye anaweza kuwa na tabia chanya kama za yule wa mwanzo. Wote naona hatuendani kwa kila kitu japo wananipenda na mara nyingi nakumbuka vitendo na hata tabia za yule wa mwanzo ila nashindwa kumrudia kwa sababu kwao ni mbali pia ameshakua na mahusiano mengine
Sasa naomba ushauri niangalie vigezo gani muhimu ili nisijeumizwa kwenye mahusiano kwa sababu napenda nianze mahusiano sasa ili yanifikishe kwenye ndoa.
Msaada wenu please!
Natumaini mko poa na tunaendelea kusapotiana kwenye mambo ya msingi, naombeni ushauri.Nilishakuwa na girlfriend mmoja ambaye nilitumaini anaweza kuja kuwa mke wangu kwa maana nilimpenda sana kutokana na ukarimu na upendo alionionyesha kwa muda huo ingawa kwa upande wangu sikuwa najali sana kwa kuwa nilikuwa bado na mawazo ya kitoto japo nilimzidi girlfriend wangu huyo kwa mwaka mmoja.
Ilifika kipindi akabadilika na mwishowe tukaachana lakini kwa sasa nimekaa na kufikiria kama nitaweza kupata girlfriend ambaye anaweza kuwa na tabia chanya kama za yule wa mwanzo. Wote naona hatuendani kwa kila kitu japo wananipenda na mara nyingi nakumbuka vitendo na hata tabia za yule wa mwanzo ila nashindwa kumrudia kwa sababu kwao ni mbali pia ameshakua na mahusiano mengine
Sasa naomba ushauri niangalie vigezo gani muhimu ili nisijeumizwa kwenye mahusiano kwa sababu napenda nianze mahusiano sasa ili yanifikishe kwenye ndoa.
Msaada wenu please!