Christopher Wallace
JF-Expert Member
- Dec 8, 2015
- 1,397
- 3,491
Mitandao ya simu nchini Tanzania hatimaye imepandisha vifurushi vyake kimyakimya bila kutoa taarifa kwa wateja wake.
Awali mitandao hiyo ilitangaza kubadilisha vifurushi lakini walighairi baada ya muda. Ila kwasasa wameamua kupandisha kimyakimya!
Vifurushi vilivyobadilika hasa ni vile vya intaneti ambapo mabando yamepunguzwa sana! Nafikiri Waziri mpya ameingia na kasi kubwa, yetu macho sasa👀
Awali mitandao hiyo ilitangaza kubadilisha vifurushi lakini walighairi baada ya muda. Ila kwasasa wameamua kupandisha kimyakimya!
Vifurushi vilivyobadilika hasa ni vile vya intaneti ambapo mabando yamepunguzwa sana! Nafikiri Waziri mpya ameingia na kasi kubwa, yetu macho sasa👀