Kingsmann
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 4,447
- 16,304
Nenda kwenye jimwage dataUnavipata ndani ya kifurushi kipi hivi? Kwangu ni tofauti kwenye Intaneti Supa
View attachment 1749028
Nenda kwenye jimwage dataUnavipata ndani ya kifurushi kipi hivi? Kwangu ni tofauti kwenye Intaneti Supa
View attachment 1749028
Hicho ninkifurushi cha jimwage data kila mtu anacho mkuuVoda kila mteja ana menu yake na offer zake.
Wala hata usijichoshe kuchunguza sana.
Mm nina laini yao miaka 19 sasa na vifurushi ninavyoviona ni vichekesho.
Na hata ukijaribu kuongea na wahudumu wao watakuambia once mtu umekuwa assigned vifurushi ndio over. Hawabadili
Ni 4G feki haina ishu tumia halotel mkuu au zantel ziko poa sana
TTCL mizinguo upande was T-pesa lakini Mambo mengi wapo vizuriKaka TTCL bado hawajajipanga haeajui nini wanatak ukitak kujua mtiti mwinhin mtumie mtu mesej kwa ttcl utakuj kuniambia mesej moja ina fail kila saa utarudia had mara tano siwez kutumia ttcl hata wafany mb rahis kias gan siwez kuwa mzalendo uku najiumiza zantel ni jibu la matatiz yote nilichelew sana kutumia huu mtandao
Kifurushi kipi hiki mkuuNimepata gb 10 kwa elf 9500 halotel. Kwa muda wa mwezi mmoja.
Tuonane PM tumalize biasharaVifurushi vipo bado wakuu Ila link haitotumwa Tena. Kumekua na misuse kubwa.
By the way Chief-Mkwawa vipi mkuu ulifanikiwa? The service is back.View attachment 1742013
DuhKuna wengine wameungwa Ila wameshindwa kuelewa mchanganuo wa vifurushi. Ni kwamba kwa sasa utapata kwa siku 14 za mwanzo, (first two weeks) na baada ya hapo unaweza kujiunga kifurushi Cha kawaida Ila ikifikA mwisho wa mwezi unawekewa Tena GB zako.View attachment 1742017
Visimu vya ovyo sana.Mkuu nakuona unajidai na Smart Kitochi, ni visimu vizuri sana.
Walikuwa nacho ila na wao wametoa mkuu wsngu nikushauri kitu kama unataka mtandao weny unafuu sio lazima bando za usiku zantel wako vizur hat halotel ila kam unatak mtandao utaotumia huku unanungunika kila siku bas tumi ttcl utakuja kuleta mrejesho hapa mimi natumia san netflix kucheki movies ila sina budi huwa najiunga zantel elfu kumi GB 10 kwa mwez mzima
Airtel naona wamegoma kurudisha bando la usiku
Barikiwa sana!wamerudisha nimejiung sasa ivi *148*88# chagua siku utaona night bundles
wanatoa GB ngapi?wamerudisha nimejiung sasa ivi *148*88# chagua siku utaona night bundles
GB 10 ila speed sasa duhwanatoa GB ngapi?
Vina janga la bootloop sana hivyo visim hasa vya tigo vile..Visimu vya ovyo sana.