Moe Szyslak
JF-Expert Member
- Nov 6, 2016
- 341
- 682
Mitandao ya simu inamilikiwa na mabeberu. Haya mabadiliko ya gharama za vifurushi yalivyo makubwa ukiweka na hali mbaya ya uchumi. Miezi au miaka kadhaa mbeleni matumizi ya simu yatakuwa anasa.
Na kitu kibaya zaidi ni kuwa mtandao mmoja wa simu una menu zaidi ya 2 ambazo zina vifurushi vinavyobadilika kila mara na hawafanyi bahati mbaya.
Farewell voda and tigo.
AIRTEL && TTCL are my new home
Na kitu kibaya zaidi ni kuwa mtandao mmoja wa simu una menu zaidi ya 2 ambazo zina vifurushi vinavyobadilika kila mara na hawafanyi bahati mbaya.
Farewell voda and tigo.
AIRTEL && TTCL are my new home