kilama
JF-Expert Member
- Jul 14, 2015
- 2,655
- 1,766
asante mkuu, bandika bandua naipatia wapi? mi nimezoea kile cha usiku ofa kinachoanza saa sita usiku.Unlimited vya mwanzo ndio zilikuwa hivyo, hiki kina speed mara 3 ama 2 ya 2G.
Kinatosha kustream YouTube 240p video zote, ama 360p kwenye channel maarufu, kubrowse pia Hakuna shida jf, na site nyepesi.
Sio mbaya mkuu, ukihitaji kudownload file kubwa unaunga vifurushi Cha usiku Kama bandika bandua, vifurushi Kama hiki kinakuweka online mwezi mzima kwa matumizi madogo.