Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Halotel hiyo. Hii ni University ya zamani kwa Sasa kununua ni Kati ya 10,000-15,000 laini tu.
Ila ukiipata bata tu.
Screenshot_20190722-180853~2.jpeg
Screenshot_20190721-082505~2.jpeg
 
Hawa Halotel nao sijui wanaanza kukwama wapi,kutuwekea dakika kwenye usiku pack ndiyo nini...Na hicho kifurushi cha buku sijui wanatoa Mb kiasi gani maana wamesema tu internet bure usije kuwa ukishafikisha gb1 unaambiwa Mb zako zimeisha
Unlimited internet, Game kubwa Kama FIFA 19 lenye GB Kama 40 huwa nalidownload usiku mmoja tu na Hicho kifurushi.
 
Unlimited internet, Game kubwa Kama FIFA 19 lenye GB Kama 40 huwa nalidownload usiku mmoja tu na Hicho kifurushi.
Ngoja Leo nijiunge kama NI kweli,maana kuna unlimited nyingine ukifikisha kiss Fulani wanaanza kusema kifurushi kimeisha...Naona wamerekebisha maana mwanzo si walikuwa wanatoa gb10 kwa bukujero asahiv ndo wabafanya hivyo
 
Mimi niliwapigia simu ila chakushangaza hata huyo customer care alikuwa hajui chochote akanambia nisubiri aulizie, mwisho wananiambia bado hawajaanza kutoa hizo laini sasa nashangaa wanatuma sms kila siku
Nimepita leo nimekuta foleni kubwa sana nimeona shida kusubiri na ilikuwa mida ila bado mnanidai feedback lazima niilete humu.
 
Ngoja Leo nijiunge kama NI kweli,maana kuna unlimited nyingine ukifikisha kiss Fulani wanaanza kusema kifurushi kimeisha...Naona wamerekebisha maana mwanzo si walikuwa wanatoa gb10 kwa bukujero asahiv ndo wabafanya hivyo
Hivyo ni vifurushi viwili Tofauti vyote vipo. Unlimited kinakaa kwenye ofa maalum na unachopimiwa GB vifurushi vya kawaida.
 
Unlimited internet, Game kubwa Kama FIFA 19 lenye GB Kama 40 huwa nalidownload usiku mmoja tu na Hicho kifurushi.
Hicho kifurushi kwa sasa kinazingua balaa sijui ni kwangu mimi maana nimeunga ila sijatumia hata mb 1 net inakata hovyo mpaka muda umeisha ndio imekaa sawa washaanza kutuibia hela zetu.
 
Hii issue imenikuta Mara 3,hadi nikahisi wanafanya makusudi

Ukiunga net haitembei kabisaa
Hicho kifurushi kwa sasa kinazingua balaa sijui ni kwangu mimi maana nimeunga ila sijatumia hata mb 1 net inakata hovyo mpaka muda umeisha ndio imekaa sawa washaanza kutuibia hela zetu.
 
Hicho kifurushi kwa sasa kinazingua balaa sijui ni kwangu mimi maana nimeunga ila sijatumia hata mb 1 net inakata hovyo mpaka muda umeisha ndio imekaa sawa washaanza kutuibia hela zetu.
Hii issue imenikuta Mara 3,hadi nikahisi wanafanya makusudi

Ukiunga net haitembei kabisaa
Niliwahi kupata Hilo tatizo nilipoungia kifurushi Cha usiku juu ya kifurushi chengine, mfano una Royal bundle ukiunga Cha usiku nacho kinakuwa slow na kudisconect kila dakika.

Sasa hivi naunga Cha usiku kwenye line yake separate, na vifurushi vya kawaida line nyengine.
 
Niliwahi kupata Hilo tatizo nilipoungia kifurushi Cha usiku juu ya kifurushi chengine, mfano una Royal bundle ukiunga Cha usiku nacho kinakuwa slow na kudisconect kila dakika.

Sasa hivi naunga Cha usiku kwenye line yake separate, na vifurushi vya kawaida line nyengine.
Na sasa serikali haitaki tuwe na line 2 mtandao mmoja duh
 
Aisee,ngoja nijarbu lain isiyo na kifurush basi..mana hadi pozi unakosa
Niliwahi kupata Hilo tatizo nilipoungia kifurushi Cha usiku juu ya kifurushi chengine, mfano una Royal bundle ukiunga Cha usiku nacho kinakuwa slow na kudisconect kila dakika.

Sasa hivi naunga Cha usiku kwenye line yake separate, na vifurushi vya kawaida line nyengine.
 
Niliwahi kupata Hilo tatizo nilipoungia kifurushi Cha usiku juu ya kifurushi chengine, mfano una Royal bundle ukiunga Cha usiku nacho kinakuwa slow na kudisconect kila dakika.

Sasa hivi naunga Cha usiku kwenye line yake separate, na vifurushi vya kawaida line nyengine.
Najiungaga mara zote nikiwa na kifurushi Mara chache ndo hukatakata Ila mpaka sasa 7 hivi kinakuwa kimeshakaa sawa.
 
Hu
Najiungaga mara zote nikiwa na kifurushi Mara chache ndo hukatakata Ila mpaka sasa 7 hivi kinakuwa kimeshakaa sawa.
Huwezi amini mkuu hii ni mara ya pili kunitokea ngoma imegoma hadi saa 12 asubuhi sijaambulia chochote dadeki zao hawa halotel.
 
Niliwahi kupata Hilo tatizo nilipoungia kifurushi Cha usiku juu ya kifurushi chengine, mfano una Royal bundle ukiunga Cha usiku nacho kinakuwa slow na kudisconect kila dakika.

Sasa hivi naunga Cha usiku kwenye line yake separate, na vifurushi vya kawaida line nyengine.
Au kwasababu laini nayotumia ni ya chuo ndio inasababisha majanga mwanzoni ilikua inapiga kazi fresh
 
Hu

Huwezi amini mkuu hii ni mara ya pili kunitokea ngoma imegoma hadi saa 12 asubuhi sijaambulia chochote dadeki zao hawa halotel.
Dah!
Basi kutakuwa na shida sehemu...na ni kwa sababu hii ndio maana huwa sifanyagi kama wengine wanaoamua kuandaa muvi zao zi download halafu wao wanalala
 
Back
Top Bottom