Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 30,631
- 39,613
- Thread starter
- #2,241
Kila nikigoogle sipati Hata source moja inayosema wamezindua, type feedback mkuu isijekuwa ni janja janja ya watu wakasajili line tu.Bado sjajua boss wangu kesho nataka nipite ofisini kwao nikapate hiyo Line pia niwaulize hiyo kitu.