Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Sijui wanapata wapi jeur kenge hawa...alaf bei wmeacha ile ile

Sent from my SM-G920P using Tapatalk
Vodacom nishawahama kitambo nipo Tigo na Halotel. Voda kila siku wanapunguza vifurushi tu, 500-dk 19 (voda-voda) na sms 50 wakati Tigo napata dk 60 na dk 5 mitandao mingine, sms 500 na 550 mb. Napewa ofa dk 10 mitandao yote, na sms 50 za kutumia siku 3. Kuna kifurushi cha 2500 kina dk za kutosha na gb km 2 na ushee hivi ila wananiboa net yao haina speed kbs na km unatumia modem utatamani uzime data.
 
Vodacom nishawahama kitambo nipo Tigo na Halotel. Voda kila siku wanapunguza vifurushi tu, 500-dk 19 (voda-voda) na sms 50 wakati Tigo napata dk 60 na dk 5 mitandao mingine, sms 500 na 550 mb. Napewa ofa dk 10 mitandao yote, na sms 50 za kutumia siku 3. Kuna kifurushi cha 2500 kina dk za kutosha na gb km 2 na ushee hivi ila wananiboa net yao haina speed kbs na km unatumia modem utatamani uzime data.
Mim naunga dar super uni ndio inafanya niwe nao..pia nina university kidgo inaniboost

Ila night offa naunga halotel sh 1000 wananipa unlimited..speed kali sana





Sent from my SM-G920P using Tapatalk
 
Hii ni thread ya vifurushi ambavyo sio rasmi kama vya chuo au vifurushi maalum ambavyo vinatoa kiasi kikubwa cha internet, nitalist vifurushi ninavyovifahamu kama kuna wanaojua vyengine watasaidia

Tigo

-Vifurushi vya chuo
Hivi utapata mb na dakika kwa pamoja ila nitaandika tu mb, shilingi 1500 mb500 kwa wiki na sh500 ni mb300 kwa wiki. kujiunga bonyeza *148*01*20# au bonyeza *148*00# kisha chagua vifurushi maalum, itabidi uwe na line ya chuo

Vodacom
-3gb kwa sh 2000 au 800mb kwa sh 1000
Bonyeza *149*03# kupata hivi vifurushi, kutegemeana na line utapata kifurushi kimoja kati ya hivyo
-Vifurushi vya chuo
Kwa sh 500 utapata mb500, 1500 utapata 1gb na 2500 utapata 2gb zinazodumu wiki nzima, kujiunga piga *149*42#

Airtel
-Vifurushi vya chuo
Hawa jamaa wana vifurushi vizuri zaidi vya chuo hasa cha usiku ambacho unapata 10gb kwa sh 600, pia kipo cha kawaida unapata 2gb kwa 1000 na 1.2gb kwa sh600. Kuvipata unahitaji kununua vocha za chuo zinazopatikana vyuoni au kutumia airtel money *150*60# kisha uchague ofa kabambe nafkiri option ya 6.

Halotel
-Vifurushi vya chuo

Hawa wana kifurushi kizuri cha chuo cha mwezi sh 10,000 unapata 10gb ni kizuri kwa wasiopenda usumbufu wa kuunga unga vifurushi, pia kipo cha wiki sh 500 mb600, kujiunga *148*55#
-Usiku 10g kwa sh 1500
Pia kipo kifurushi cha usiku kwa wale ambao airtel haina speed kwao, kujiunga *148*66# kisha utaenda upande wa internet.

TTCL
-Boom pack (vya chuo)

Kwa shilingi 500 utapata 500MB, shilingi 1500 1gb na shilingi 2500 3gb
pia wana vifurushi vya mwezi kwa sh 1500 utapata 2gb, 3000 utapata 4gb na shilingi 5000 utapata 7GB

kujiunga *148*30#
vifurushi vya usiku
kwa shilingi 1000 utapata gb 10 za 4g kuanIa saa 4 usiku hadi 12 asubuhi, kujiunga ni menu ile ile ya *148*30#.

Smart
-Unlimited bundle
Kwa siku unlimited 1,000 kwa wiki 7,000 na kwa mwezi 20,000 tuma neno DATASIKU au DATAWIKI au DATAMWEZI kwenda 100, vifurushi hivi ni kwa watu walio nje ya dar tu


Vifurushi vya youtube
Zipo website nyingi sana wanahost movie youtube, unaweza jiunga kifurushi cha youtube kisha ukatembelea hizo site na kudownload, sema utahitaji bundle nyengine ya kubrowse na bundle ya youtube ya kudownloadia. vipo kila mtandao.

Kuna kifurushi unaona kinastahili kuwa hapo? usisite kukitaja chini.

Remote
hivi mkuu zile Samsung M10 zishafika tz? kama wiki tatu hivi nilitafuta kkoo sikuzipata
 
Duh..mi nilisha kiacha hiko,nakula unlimited ya halotel

Sent from my SM-G920P using Tapatalk
Pia halotel kifurushi chao cha unlimited cha 1000 wanachokupa mb200 cha siku kikiisha wanabana speed yao huwezi kudownload au kustream video YouTube vizuri ila kama una application ya startimes unastream channel za startimes bila tabu.
 
Back
Top Bottom