Kichochoro
JF-Expert Member
- Jul 18, 2017
- 1,135
- 1,163
Kutumia lain nyingne siyo sababu mkuuTapel kaumbuka ahahahahahahahah
Kutumia lain nyingne siyo sababu mkuuTapel kaumbuka ahahahahahahahah
Tigo mkuuKwa mtandao gn mkuu?
Sawa mkuuTigo mkuu
mtandao gani uo ?Pre paid icho nicheki PMView attachment 2029301
Umeambiwa hiyo ni Tigomtandao gani uo ?
Subri tarehe uliyoungiwa mkuu utapata GB zakoWakuu hiki kifurushi cha Tigo nililipia nikaungwa 6GB nikaambiwa kila baada ya mwezi ntakuwa napokea 6GB , ila naona mwezi mpya na sijapata. hicho kifurushi Kinaitwa cha ramba dume .
Nimeunga vocha ya elfu 1 lakini sijapata kabisa .
Hiki kwa simu za samsung kinakataa mbonaSihami Tigo.. never ever
Ukihitaji hilo bando andika neno BURE tuma kwenda namba 15166 wahi linataka ku expire
NB: UKIHITAJI KIWANJA MWANZA AMA Dar tutafutane namba yangu hio hapo kwenye salio
View attachment 2006484View attachment 2006485
Samsung na bure wapi na wapi tafuta tecno au infinixHiki kwa simu za samsung kinakataa mbona
iyo offer imeshaisha bwanaSamsung na bure wapi na wapi tafuta tecno au infinix
Kumbe imeisha sikua najuaiyo offer imeshaisha bwana
Hii ukiungwa lazima ungwe Tena kila mwrzi?Pre paid icho nicheki PMView attachment 2029301
Hizi ni prepaid or postpaid?Pre paid icho nicheki PMView attachment 2029301
mkuu nimekupmKuna watu sio waungwana humu, unamuunga kifurushi anasema hana hela halafu anakublock.
Thanks Mkuu
Wanadamu hawafai kabisa , kikubwa wavumilie tu maana hakuna namna .Thanks Mkuu