Cha asubuhi
JF-Expert Member
- Jun 21, 2017
- 1,497
- 2,156
Mie nipo hapa Ghana hali ya hewa mbona ipo fresh tuMkuu samahani kwa usumbufu, mfumo jaujakaa sawa, hali ya hewa haiko vizuri hapa Rock city, Ntakuunga tu mambo yakiwa sawa
Mie nipo hapa Ghana hali ya hewa mbona ipo fresh tuMkuu samahani kwa usumbufu, mfumo jaujakaa sawa, hali ya hewa haiko vizuri hapa Rock city, Ntakuunga tu mambo yakiwa sawa
Hujaiona mvua ya asubuhi mkuu? jua ndio limetoka saa tanoMie nipo hapa Ghana hali ya hewa mbona ipo fresh tu
Mie nipo hapa Ghana hali ya hewa mbona ipo fresh tu
Poa mkuuHujaiona mvua ya asubuhi mkuu? jua ndio limetoka saa tano
Kmeshabadilika kitambo sana aseeeeeKwa mnaotumia TTCL hiki kipengele kilichoainishwa hapa chini hakijabadilika hata kidogo? Kama hakijabadilika itabidi nisajili line ya TTCL
"bandika bandua ni vifurushi vizuri kwa matumizi makubwa Kama kuangalia Netflix, zipo option Kama
-1000 GB 4 kwa siku (Mb 500 mchana 3.5GB usiku)
-2500 GB 10 kwa siku
-5000 GB 8 kwa wiki (3gb mchana na 5GB usiku)
Uzuri wake ni kwamba GB za usiku zinaanza saa 2 usiku muda mzuri ambao watu wanaangalia movies baada ya kutoka makazini"
We n muongo unatumia halopesa app
Halopesa app naona vifurushi vyake havina uhalisiaWe n muongo unatumia halopesa app
Mkuu hiki kifurushi bado kipo?OFA YA
WEEKEND
TIGO GB72
BEI 12000 TU
Hiki ni T-ConnectMwenye lain ya ttcl naomba aniangalizie vifurushi vya internet vya usiku vipoje
Hiki ni "Jiachie internet"Mwenye lain ya ttcl naomba aniangalizie vifurushi vya internet vya usiku vipoje
Mimi laini yangu ni ya chuo/Boom Pack so hivi ndiyo vifurushi vyake, kwa week na mwezi.Mwenye lain ya ttcl naomba aniangalizie vifurushi vya internet vya usiku vipoje
Nimesema usiku mzee sio vya kawaidaHiki ni "Jiachie internet"View attachment 2021730
Naipataje hii ofa?
Vp ushaungwa?Wee jamaa mimi bado nakusubiria.
Chief umeona kimya kwakua HQ mambo hayajakaa levo thus why nikakwambia usifanye payment before service haijawaha rendered. When we back in business I will let you knowWee jamaa mimi bado nakusubiria.
TTCL washagaondoa night pack mzee!Nimesema usiku mzee sio vya kawaida
Poapoa mkuuChief umeona kimya kwakua HQ mambo hayajakaa levo thus why nikakwambia usifanye payment before service haijawaha rendered. When we back in business I will let you know
Sent from my CPH2059 using JamiiForums mobile app
Bado mkuuVp ushaungwa?