Kwa sh ngp mkuu.unapewa Gb7+Dkk 300 za halotel na 220 Mitandao yote na SMS 500 mwezi mmoja
kama unahisi mi ni kanjanja you can just go on and find other offers mkuu sio lazima
Kwa sh ngap mkuu?unapewa Gb7+Dkk 300 za halotel na 220 Mitandao yote na SMS 500 mwezi mmoja
10kKwa sh ngap mkuu?
Niliunga bando la mwaka mzima gb 6 kila mweziHakuna Cha mwezi mmoja pekee chief.
Siku 10 nyingi hivyo mimi siku 2 tu chaliNiliunga bando la mwaka mzima gb 6 kila mwezi
GB 6 zimeisha ndani ya siku kumi nasubiri mwezi unafuata nione kama nitapata tena
Kama nawewe umethibitisha basi hii ni uhakikaMimi pia nimelipia Nimeungwa.
Nilifikria mm ndio nimewahi kumaliza bando kumbe tupo wengi hivi !Siku 10 nyingi hivyo mimi siku 2 tu chali
Yaani kifurushi cha wiki kinaisha ndani ya siku mbili hata kama hu download videoNilifikria mm ndio nimewahi kumaliza bando kumbe tupo wengi hivi !
Nimepata Tena 6GB kwa mwezi huu wa 8Kama nawewe umethibitisha basi hii ni uhakika
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Mbona hii ipo muda mrefu halafu Sasa Kama dakika hujamaliza baada ya wiki kufika ukiunga kifurushi tena wanakurudishia na zile dakika zilizobakia za kifurushi Cha nyumaZantel laini ya chuo ni noma now nmewahama halotel na Vodacom kwa mda hizo dakika 160 ni mitandao yote plus 1.5gb kwa wiki nzimaView attachment 1897161
Hii imekaa njema sana, je kwa line zote za Zantel?Mbona hii ipo muda mrefu halafu Sasa Kama dakika hujamaliza baada ya wiki kufika ukiunga kifurushi tena wanakurudishia na zile dakika zilizobakia za kifurushi Cha nyuma
Nahitaji kuungwa voda mkuu nipe muongozo.
Yaani mwanangu ni raha iliyoje??Mbona hii ipo muda mrefu halafu Sasa Kama dakika hujamaliza baada ya wiki kufika ukiunga kifurushi tena wanakurudishia na zile dakika zilizobakia za kifurushi Cha nyuma
I don't do business,. I just help fellow If members to get packages at lower rates
Nahitaji kuungwa voda mkuu nipe muongozo.