ashomile
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 2,622
- 2,428
Shida bando lao na sehemu nilipo halina faida kwangu.Go East go West! Airtel is the Best! 3GB kwa 2000 daily with good speed
Shida bando lao na sehemu nilipo halina faida kwangu.Go East go West! Airtel is the Best! 3GB kwa 2000 daily with good speed
Kwenye menu gani mkuuYaani imebidi nirudi kujisalimisha Vodacom sh1500 napata GB1 dk150 voda dk15 yote kwa wiki moja
Mtandao gani unakifurushi bora zaidi ya hiki?View attachment 1543996
Nimewahama Halotel wamekua very slow
nasubiri jibuKwenye menu gani mkuu
Inategemeana na eneo ulipoYaani imebidi nirudi kujisalimisha Vodacom sh1500 napata GB1 dk150 voda dk15 yote kwa wiki moja
Mtandao gani unakifurushi bora zaidi ya hiki?View attachment 1543996
Nimewahama Halotel wamekua very slow
Mi nashangaa mwanzoni hapa nilipo halotel ilikua inakimbiza vibayaInategemeana na eneo ulipo
Kwangu mimi mtandao pekee wenye intanet ya kueleweka ni Halotel
Yaani mahali nilipo Tigo kubadili DP tu shida
Voda nayo shida tupu
Hii offer sio maalumu kwa watu wa kanda ya kati..
Hii ni kweliMi nashangaa mwanzoni hapa nilipo halotel ilikua inakimbiza vibaya
Sasa hivi mwendo wa kobe
Huko hamna kituuu mzee washakuwa wapigajiiNataka nsajiri laini ya ttcl wadau vifurushi vimekaa v ipi
hivyo nI mtandao gani una offers nzuri za internet?Huko hamna kituuu mzee washakuwa wapigajii
Karibu nyumbani kumenoga!!Nataka nsajiri laini ya ttcl wadau vifurushi vimekaa v ipi
Ttcl nao wamekua majambazi kama majambazi wengineKaribu nyumbani kumenoga!!
Mkuu ule uzi wetu pendwa umefungwa?Watu mnatunza kumbukumbu sema Tapeli ashasahau alikuwa na Emergenc hospitalBongo noma sanaa unajidhalilisha kisa 5000 mkuu duu
Acha tuu mkuu...!! Wanazingua sana ModsMkuu ule uzi wetu pendwa umefungwa?
Acha tuu mkuu...!! Wanazingua sana Mods
Jinsi mtandao unavyokuwa na speed ndio jinsi zinavyoisha mapema, hasa ukiingia mtandao kama youtube/Netflix na site nyengine zinazokupa quality kutokana na speed.Voda gb zao zinakatika kama upepo,gb 10 ndani siku 2 zimeisha!