Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 30,689
- 39,755
- Thread starter
- #2,801
inapungua kiasi gani?kifurushi kipo ktk royal bundle kinaitwa tanzanite ni tsh 50,000 unapiga simu bila kikomo,sms na internet unapewa mb za kasi na badae bila kikomo ila speed inapungua