Hyo gb 1.3 inafika siku 2tigo napata dakika 250 all net
Gb 1.3
sms 100
kwa buku 2 wiki nzima
sijawaza kuhama kabisa hapa maana matumizi ya elfu 8 kwa mwezi ni bomba sana!
inamaliza wikiHyo gb 1.3 inafika siku 2
Zinapatikanaje?Halotel wanalaini zao wanaziita tanzanite mi nimezipenda sana kwa mwezi elfu 20 unapewa gb50,dakika 200 mitandao yote kila siku,na sms 500 kila sikuView attachment 1479894
Ukienda kwenye ofisi za halotel unawaambia naitaji laini ya tanzanite tuZinapatikanaje?
mkuu Tanzanite ukimaliza GB wanashusha speed mpaka ngapi? maana niliwahi wauliza wahudumu wao makao makuu hawajui kitu.Halotel wanalaini zao wanaziita tanzanite mi nimezipenda sana kwa mwezi elfu 20 unapewa gb50,dakika 200 mitandao yote kila siku,na sms 500 kila sikuView attachment 1479894
Ndo nimeunga kwa mara ya kwanza mkuumkuu Tanzanite ukimaliza GB wanashusha speed mpaka ngapi? maana niliwahi wauliza wahudumu wao makao makuu hawajui kitu.
Nimeshatumia mkuu,ikisha hio 50GB ndio imekwisha mazima,sahau kushushwa speed.mkuu Tanzanite ukimaliza GB wanashusha speed mpaka ngapi? maana niliwahi wauliza wahudumu wao makao makuu hawajui kitu.
mbona line za kawaida ni tsh 50,000Halotel wanalaini zao wanaziita tanzanite mi nimezipenda sana kwa mwezi elfu 20 unapewa gb50,dakika 200 mitandao yote kila siku,na sms 500 kila sikuView attachment 1479894
20000 yako tumbona line za kawaida ni tsh 50,000
Tatizo hawa jamaa internet yao ipo slow sana, laini ya 4G na simu inasapoti lakini kama unatumia 2G20000 yako tu
Wanaziuzaje?Ukienda kwenye ofisi za halotel unawaambia naitaji laini ya tanzanite tu
Halotel 4g ipo slow? Nahitaji screenshot kuaminiTatizo hawa jamaa internet yao ipo slow sana, laini ya 4G na simu inasapoti lakini kama unatumia 2G
Hizo laini wanaziuzaje20000 yako tu
LABDA KWAKOTatizo hawa jamaa internet yao ipo slow sana, laini ya 4G na simu inasapoti lakini kama unatumia 2G
Napataje ya kwangu bossmbona line za kawaida ni tsh 50,000
kifurushi kipo ktk royal bundle kinaitwa tanzanite ni tsh 50,000 unapiga simu bila kikomo,sms na internet unapewa mb za kasi na badae bila kikomo ila speed inapunguaNapataje ya kwangu boss