Babarazack
Senior Member
- Sep 9, 2015
- 132
- 156
Zantel:Furahia GB 1.5 wiki nzima kwa Tsh. 1,500/=
tiGO siku hizi hawana University bundles ,sikushauri ujiunge tiGO ni majanga
ingia menu ya kawaida ya voda *149*01 kisha chagua NUNUA BANDO kisha chagua INTERNET
Naomba menu ya kupata hichi kifurushi!""Zantel:Furahia GB 1.5 wiki nzima kwa Tsh. 1,500/=
Sikuhizi line za Tigo vifurushi vinaanzia tsh elfu tatu kama hapo chini.
Wadau naomba namba ya kifurushi cha internet cha tigo kile 10gb au hakipo sikuizi tena?
Hawa ni tigo mkuu yani hawapo specific...Sikuhizi line za Tigo vifurushi vinaanzia tsh elfu tatu kama hapo chini.
Wakati kipindi cha nyuma line ya chuo vifurushi vilikua vinaanzia 1500 kwa wikiView attachment 1425334
Afadhali wewe unapata kifurushi cha wiki kuanzia 1500 na hicho cha 2500.
kas naona sku iz amna man au ni kwangu2Bora utumie Halotel tsh 1500 unapata unlimited internet kwa kasi kubwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo mibando ukishaungaga tu mtandao unakuwaga magumashi mwanzo mwisho mpaka bundle muda unaisha
Voda wana kifurushi cha 2500TSH kupata 3GB kwa siku tatu
Hupati gb 3 kwa sasa wamepunguza,unapata 1.2gb kwa sh 2500Voda wana kifurushi cha 2500TSH kupata 3GB kwa siku tatu