King Elly
JF-Expert Member
- Sep 19, 2013
- 1,206
- 1,308
Mkuu ivi halotel wana modem za 4g?Unlimited kabisa na ukiwa na line ya 4G Ni masaa machache tu, na uzuri wa halotel hakuna disconnection za kila Mara hivyo unaiweka Kisha unalala ukiamka asubuhi imemaliza.