Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

halotel
1000 1gb week.
100dk halotel.
unaenda kwe ye menu ya halopesa..
Halotel wezi. Hicho kifurushi hakitoboi zaidi ya siku 3 mb zimekata. Nishakitumia sana zaidi ya mara 4 lakini kikifika siku 3 kinaisha. Tigo nao nilikuwa napata 2.5GB kwa 2500 lakini leo 1.2 Gb tu kwa wiki. Cha usiku amebaki mkombozi haloteli unlimeted kwa 1000 kuanzia saa 6 mpaka 12asubuhi
 
Kwahiyo hicho kifurushi unakuwa unalipia kwa Halopesa?
Unaweka pesa halopesa kisha kupitia kwenye menu ya halopesa unanunua salio la kifurushi ambacho kina 1 GB kwa 1000 kwa wiki ila walivyo wezi hawa jamaa mb zitakata siku 3. Nishakitumia kama mara 4 nikaachana nacho. Jaribu kwako huenda zikatoboa siku 3
 
Unaweka pesa halopesa kisha kupitia kwenye menu ya halopesa unanunua salio la kifurushi ambacho kina 1 GB kwa 1000 kwa wiki ila walivyo wezi hawa jamaa mb zitakata siku 3. Nishakitumia kama mara 4 nikaachana nacho. Jaribu kwako huenda zikatoboa siku 3
Ah kama ni hivyo basi maana ni kitu ambacho nilikuwa nahisi tu kutakuwa na mchezo kama huo.
 
Ah kama ni hivyo basi maana ni kitu ambacho nilikuwa nahisi tu kutakuwa na mchezo kama huo.
Halotel washenzy sana. Kidogo anayejitahidi kwenye Mb ni Tigo ila nao huwa wanavizia, ukiingia kwenye Youtube wanakata mb chapchap. Kibaya zaidi Tigo usiache hela kwa mfano umeweka 1000 halafu umejiunga kifurushi cha 5,00. Hiyo uliyoicha wanapita nayo. Utaunganishwa na kifurushi cha hadithi fasta.
 
Kw
Halotel washenzy sana. Kidogo anayejitahidi kwenye Mb ni Tigo ila nao huwa wanavizia, ukiingia kwenye Youtube wanakata mb chapchap. Kibaya zaidi Tigo usiache hela kwa mfano umeweka 1000 halafu umejiunga kifurushi cha 5,00. Hiyo uliyoicha wanapita nayo. Utaunganishwa na kifurushi cha hadithi fasta.
Kwanza kabisa unapotosha uma na icho kifurushi Cha halotel we unatumua siku tatu wenzako tunatumia masaa matatu, pili tgo ukiona wamekukata salio lililopo kwenye simu Basi jua kuna huduma utakua umejiunga bila kujua Kama umejiunga
 
Kw
Kwanza kabisa unapotosha uma na icho kifurushi Cha halotel we unatumua siku tatu wenzako tunatumia masaa matatu, pili tgo ukiona wamekukata salio lililopo kwenye simu Basi jua kuna huduma utakua umejiunga bila kujua Kama umejiunga
Najua wewe ni mgeni wa hii mitandao na huijui vizuri. Kuna watumiaji wa chini, kati na wajuu. Kutumia hiyo mb kwa masaa ni wewe lakini haibadilishi ukweli. Tigo ilikuwa ukiacha hela wanakuunganisha na hadithi bila wewe kujiunga na hii ishanitokea sana. Kuhusu kutotoboa siku tatu nilikuwa natumia matumizi ya kawaida ya kuperuzi jamii forum nayo ilikata na siyo mara mmoja zaidi ya mara 4. Mara zote 4 mb zinakata siku 3, Sasa huoni hapo kuna tatizo?. Hii mitandao nailewa sana. Tigo, Voda na halotel labda unidanganye kwenye mitandao mingine. Ya kwako tu, Size yako TIGO (Utapeli mtu). MB kadhaa facebok, Mb kadhaa Whatsapp. MB kadhaa mchana, mb kadha usiku ni utapeli mtupu. Kuna kifurushi cha Tigo cha Youtube ilikuwa unajiunga kwa 500 wiki lakini kilikuwa kinakata kwa siku 2 tu. Sasa hivi vifurushi vimekuwa dili vinapunguzwa kila siku
Kwenye matumizi ya internet wewe hata unafikii. kwa masaa 6 natumia GB 20 na zaidi na bado hazinitoshi. Hii mitandao ina kajanja sana labda kama wewe ni mfanyakazi wa Halotel. Kuna nyuzi humu watu wanalalamika sana kuhusu hii mitandao, vifurushi kila siku vinabadilishwa. Mpaka kuna mbunge fulani alikuwa analalamika bungeni vodacom wanaiba dk. Mimi siyo mgeni wa hii mtandao, nimetumia sana internet ya bure ya Airtel usiku, THE GRID ya vodacom nimeitumia sana. Ile internet ya Airtel, jamaa anakuunga kwa 1500 kwa siku 2 kwa GB 10. KIFURUSHI KILICHOBAKIA CHA USIKU NA NI BORA AMBACHO MITANDAO MINGINE HAWANA NI CHA HALOTEL CHA 1000 UNAPATA UNLIMETED INTERNET. Hii nayo utabisha
UZI WA CHIEF MKAWA WA MWANZO ULIKUWA UNAVUTIA SANA KWA KUPAMBWA NA VIFURUSHI WENYE GHARAMA NAFUU WENYE DK NYINGI, SMS NA GB ZA KUMWAGA LAKINI KWASASA UMEBAKI MIFUPA NA WALA HAUVUTII TENA KAMA MWAZO. HII MITANDAO IPO KWA AJILI YA KUPIGA PESA TU.
 
Najua wewe ni mgeni wa hii mitandao na huijui vizuri. Kuna watumiaji wa chini, kati na wajuu. Kutumia hiyo mb kwa masaa ni wewe lakini haibadilishi ukweli. Tigo ilikuwa ukiacha hela wanakuunganisha na hadithi bila wewe kujiunga na hii ishanitokea sana. Kuhusu kutotoboa siku tatu nilikuwa natumia matumizi ya kawaida ya kuperuzi jamii forum nayo ilikata na siyo mara mmoja zaidi ya mara 4. Mara zote 4 mb zinakata siku 3, Sasa huoni hapo kuna tatizo?. Hii mitandao nailewa sana. Tigo, Voda na halotel labda unidanganye kwenye mitandao mingine. Ya kwako tu, Size yako TIGO (Utapeli mtu). MB kadhaa facebok, Mb kadhaa Whatsapp. MB kadhaa mchana, mb kadha usiku ni utapeli mtupu. Kuna kifurushi cha Tigo cha Youtube ilikuwa unajiunga kwa 500 wiki lakini kilikuwa kinakata kwa siku 2 tu. Sasa hivi vifurushi vimekuwa dili vinapunguzwa kila siku
Kwenye matumizi ya internet wewe hata unafikii. kwa masaa 6 natumia GB 20 na zaidi na bado hazinitoshi. Hii mitandao ina kajanja sana labda kama wewe ni mfanyakazi wa Halotel. Kuna nyuzi humu watu wanalalamika sana kuhusu hii mitandao, vifurushi kila siku vinabadilishwa. Mpaka kuna mbunge fulani alikuwa analalamika bungeni vodacom wanaiba dk. Mimi siyo mgeni wa hii mtandao, nimetumia sana internet ya bure ya Airtel usiku, THE GRID ya vodacom nimeitumia sana. Ile internet ya Airtel, jamaa anakuunga kwa 1500 kwa siku 2 kwa GB 10. KIFURUSHI KILICHOBAKIA CHA USIKU NA NI BORA AMBACHO MITANDAO MINGINE HAWANA NI CHA HALOTEL CHA 1000 UNAPATA UNLIMETED INTERNET. Hii nayo utabisha
UZI WA CHIEF MKAWA WA MWANZO ULIKUWA UNAVUTIA SANA KWA KUPAMBWA NA VIFURUSHI WENYE GHARAMA NAFUU WENYE DK NYINGI, SMS NA GB ZA KUMWAGA LAKINI KWASASA UMEBAKI MIFUPA NA WALA HAUVUTII TENA KAMA MWAZO. HII MITANDAO IPO KWA AJILI YA KUPIGA PESA TU.
Iyo ya airtel gb 10 kwa 1500 siku mbili ni amshapopo au unasemea ipi
 
Pole
Najua wewe ni mgeni wa hii mitandao na huijui vizuri. Kuna watumiaji wa chini, kati na wajuu. Kutumia hiyo mb kwa masaa ni wewe lakini haibadilishi ukweli. Tigo ilikuwa ukiacha hela wanakuunganisha na hadithi bila wewe kujiunga na hii ishanitokea sana. Kuhusu kutotoboa siku tatu nilikuwa natumia matumizi ya kawaida ya kuperuzi jamii forum nayo ilikata na siyo mara mmoja zaidi ya mara 4. Mara zote 4 mb zinakata siku 3, Sasa huoni hapo kuna tatizo?. Hii mitandao nailewa sana. Tigo, Voda na halotel labda unidanganye kwenye mitandao mingine. Ya kwako tu, Size yako TIGO (Utapeli mtu). MB kadhaa facebok, Mb kadhaa Whatsapp. MB kadhaa mchana, mb kadha usiku ni utapeli mtupu. Kuna kifurushi cha Tigo cha Youtube ilikuwa unajiunga kwa 500 wiki lakini kilikuwa kinakata kwa siku 2 tu. Sasa hivi vifurushi vimekuwa dili vinapunguzwa kila siku
Kwenye matumizi ya internet wewe hata unafikii. kwa masaa 6 natumia GB 20 na zaidi na bado hazinitoshi. Hii mitandao ina kajanja sana labda kama wewe ni mfanyakazi wa Halotel. Kuna nyuzi humu watu wanalalamika sana kuhusu hii mitandao, vifurushi kila siku vinabadilishwa. Mpaka kuna mbunge fulani alikuwa analalamika bungeni vodacom wanaiba dk. Mimi siyo mgeni wa hii mtandao, nimetumia sana internet ya bure ya Airtel usiku, THE GRID ya vodacom nimeitumia sana. Ile internet ya Airtel, jamaa anakuunga kwa 1500 kwa siku 2 kwa GB 10. KIFURUSHI KILICHOBAKIA CHA USIKU NA NI BORA AMBACHO MITANDAO MINGINE HAWANA NI CHA HALOTEL CHA 1000 UNAPATA UNLIMETED INTERNET. Hii nayo utabisha
UZI WA CHIEF MKAWA WA MWANZO ULIKUWA UNAVUTIA SANA KWA KUPAMBWA NA VIFURUSHI WENYE GHARAMA NAFUU WENYE DK NYINGI, SMS NA GB ZA KUMWAGA LAKINI KWASASA UMEBAKI MIFUPA NA WALA HAUVUTII TENA KAMA MWAZO. HII MITANDAO IPO KWA AJILI YA KUPIGA PESA TU.
Pole Sana mkuu kunaweza kukawa na tatzo la kiufundi ktk device yako unayo tumia chunguza Kama ni PC/phone kuna app/software zinaweza zikawa zinakula bundle kwa nyuma kwa kifupi akuna wiz wowote ule
 
Pole
Pole Sana mkuu kunaweza kukawa na tatzo la kiufundi ktk device yako unayo tumia chunguza Kama ni PC/phone kuna app/software zinaweza zikawa zinakula bundle kwa nyuma kwa kifupi akuna wiz wowote ule
Mkuu vifurushi gani kwa airtel ni vizuri maana laini yangu menu ya chuo data zimetoweka nimebakiwa na madakika tu
 
Hapana. Hii kitu kishapigwa panga muda mrefu. Nishahamia Halotel kwenye 1000 unlimited internet
Da tatizo kukesha ndio mziki ila hapa kuna course udemy nataka kuzishusha ni GB kama 60 ivi iyo ya halotel ni unlimited as unlimited au unlimited but limited to certain MBs
 
Mkuu vifurushi gani kwa airtel ni vizuri maana laini yangu menu ya chuo data zimetoweka nimebakiwa na madakika tu
Ata line ya Airtel nilisha sahau wapi nilipo iweka mkuu, njoo halotel kwa Sasa uto juta sema watumia was halotel msiwe weng wengi Sasa Mana wanaweza wakapata kichwa nao wakawa Kama hao provider wengine
 
Da tatizo kukesha ndio mziki ila hapa kuna course udemy nataka kuzishusha ni GB kama 60 ivi iyo ya halotel ni unlimited as unlimited au unlimited but limited to certain MBs
Unlimited kabisa na ukiwa na line ya 4G Ni masaa machache tu, na uzuri wa halotel hakuna disconnection za kila Mara hivyo unaiweka Kisha unalala ukiamka asubuhi imemaliza.
 
Pole
Pole Sana mkuu kunaweza kukawa na tatzo la kiufundi ktk device yako unayo tumia chunguza Kama ni PC/phone kuna app/software zinaweza zikawa zinakula bundle kwa nyuma kwa kifupi akuna wiz wowote ule
PC na Simu nailewa sana usifikiri, mimi ni mgeni wa simu na computer. Matumizi hayafanani siku zote. Nimejiunga zaidi ya mara 4 lakini ikifika siku 3 kinakata. Huoni hapo kuna tatizo?
 
Da tatizo kukesha ndio mziki ila hapa kuna course udemy nataka kuzishusha ni GB kama 60 ivi iyo ya halotel ni unlimited as unlimited au unlimited but limited to certain MBs
Unlimited ila Sasa kwa izo gb 60 Kwanza inabidi upime speed ya net Kwanza kwa hapo ulipo
 
C
PC na Simu nailewa sana usifikiri, mimi ni mgeni wa simu na computer. Matumizi hayafanani siku zote. Nimejiunga zaidi ya mara 4 lakini ikifika siku 3 kinakata. Huoni hapo kuna tatizo?
Chief hope unaona naomba unisaidie kumuelewesha kidogo uyu baharia
 
Unlimited ila Sasa kwa izo gb 60 Kwanza inabidi upime speed ya net Kwanza kwa hapo ulipo
Halotel kwa hapa sina ila ngoja nifanye mafekeche kesho nikanunue, ivi kupata ile namba ya nida si ukipiga hata *152*00# unaipata? Maana inabidi nikasajiri na kitambulisho sina wala namba ya nida sina
 
169 Reactions
Reply
Back
Top Bottom