mikumiyetu
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 1,309
- 942
Zimetoka wapi hizo mkuu?
Hiki bhana kuna mtu ameniunganisha tu,mi hata sijui kakitoa menu ipi tatizo anaunganisha kwa pesa ndefu kidogoZimetoka wapi hizo mkuu?
Alitoa line yako?Hiki bhana kuna mtu ameniunganisha tu,mi hata sijui kakitoa menu ipi tatizo anaunganisha kwa pesa ndefu kidogo
Hapana kwanza hata sijui alipo nimekutanane mtandaoni tu nikatuma hela,nikamtumia na namba ndani ya dakika 10 nikaona sms ya kuunganishwaAlitoa line yako?
Kiukweli katika vitu ambavyo vinanifanya na matumizi mabaya ya hela ni Bundle, yaani kwa siku naweza tumia zaidi ya gb 1 kwa siku..Cha week, maana tuki_assume, wewe kwa week moja tu tayar umeshatumia tshs 2,000, sasa huoni hayo ni matumizi mabaya ya fedha?? .
Smart guy
Sasa upi mtandao wenye bando nafuu kwa sasa
Ni kawaida hiyo mkuu kwa heavy userKiukweli katika vitu ambavyo vinanifanya na matumizi mabaya ya hela ni Bundle, yaani kwa siku naweza tumia zaidi ya gb 1 kwa siku..
Sijui nifanyeje wadau
Daah 2500?? Aisee parefu sana.Ttcl 2500 gb 3 wiki (laini ya chuo)
Niunganishe nae na mmHiki bhana kuna mtu ameniunganisha tu,mi hata sijui kakitoa menu ipi tatizo anaunganisha kwa pesa ndefu kidogo
Tupe connection nae mkuu tupae mawinguniHapana kwanza hata sijui alipo nimekutanane mtandaoni tu nikatuma hela,nikamtumia na namba ndani ya dakika 10 nikaona sms ya kuunganishwa
Jaribu kwenye menu ya saizi yako.Vifurushi vya tigo vimekaaje aisee
Kwenye saizi yako wamentolea ofa ya 1500 gb 2 , yaan moja usiku na moja mchnaJaribu kwenye menu ya saizi yako.
*147*00#
Kisha bonyeza moja saizi yako.
Ukikosa kifurushi kizuri Hapo, jaribu ofa maalumu kwa *148*00#
Yaan naulizia vifurush vya internetJaribu kwenye menu ya saizi yako.
*147*00#
Kisha bonyeza moja saizi yako.
Ukikosa kifurushi kizuri Hapo, jaribu ofa maalumu kwa *148*00#
Hawa jamaa wanadai hichi kifurushi usiunge zaidi ya mara 3 kwa mweziJana sasa,net ina connect na ku disconnect kila sekunde... Hawa jamaa kavu sana..ilibd nirud voda usku bila kupenda dah
Ni majanga mkuu, Kama umekosa humo sidhani Kama Wana vifurushi vyengine vizuri vya internet,Kwenye saizi yako wamentolea ofa ya 1500 gb 2 , yaan moja usiku na moja mchna
Sa sijui wanantakia nn hawa
Hawa jamaa wanadai hichi kifurushi usiunge zaidi ya mara 3 kwa mwezi