kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 12,298
- 12,600
Ni watu wasiokuwa na sh. 28,000 kwa pamoja (maskini) kwa mwezi ambao watalazimika kulipia vifurushi vya wiki kama vile sh. 9,000 ili waweze kuangalia channels pendwa kwao.
Wiki moja ina siku 7 na mwezi mmoja una siku 30. Hivyo basi anaelipa 28,000 kupata kifurushi cha mwezi (tajiri) anatumia 28,000÷30 kwa siku ambayo in sh. 933.3 kwa siku, lakini anaelipa sh. 9,000 kwa wiki (maskini) atalipia sh. 9,000÷7 = 1,285.7 yaani sh 1,285 kila siku.
Hivyo wale masikini wanaolazimika kulipia vifurushi vya wiki huwa wanalipa zaidi kuliko matajiri wanaolipa vifurushi kwa mwezi. Maana yake Azam tv inapenda wenye nacho zaidi kuliko mafukara.
Kwanini sh. 28,000 zisigawanywe kwa 4 ili kujua vifurushi cha wiki kiwe bai gani? Yaani vifurushi cha siku saba kilitakiwa kiuzwe kwa sh. 933 × 7 = 650 kwa wiki.
Wiki moja ina siku 7 na mwezi mmoja una siku 30. Hivyo basi anaelipa 28,000 kupata kifurushi cha mwezi (tajiri) anatumia 28,000÷30 kwa siku ambayo in sh. 933.3 kwa siku, lakini anaelipa sh. 9,000 kwa wiki (maskini) atalipia sh. 9,000÷7 = 1,285.7 yaani sh 1,285 kila siku.
Hivyo wale masikini wanaolazimika kulipia vifurushi vya wiki huwa wanalipa zaidi kuliko matajiri wanaolipa vifurushi kwa mwezi. Maana yake Azam tv inapenda wenye nacho zaidi kuliko mafukara.
Kwanini sh. 28,000 zisigawanywe kwa 4 ili kujua vifurushi cha wiki kiwe bai gani? Yaani vifurushi cha siku saba kilitakiwa kiuzwe kwa sh. 933 × 7 = 650 kwa wiki.