kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 12,307
- 12,602
- Thread starter
- #21
Angalia maneno yako, kama dhana ingekuwa hiyo basi wasingeweka vifurushi vya wiki. Kwanini ununue cha wiki wakati hela unayo?? Azam wanafahamu kuwa kuna watu wasiokuwa na hela za kwezi mzima ndiyo maana wakawawekea malipo ya wiki. Kufanya hivyo ni kuwatambua wale wanaodunduliza, sasa inakuwaje yule anayedunduliza alipe zaidi?, hapo ndipo hoja ilipo.Kama mtu anamiliki dishi la Azam,huyu so maskini.
Na Kama unashindwa kulipa kifurushi Cha Bei ya 28,000/-wewe hukufikia kumiliki king'amuzi.
Acheni mambo ya kuiga,au kwakuwa mtaa mzima wamefunga madish ukaona na wewe usipitwe,
Tafuta pesa Kwanza vitu vizuri vina gharama zake,Kuna watu wamefunga ving'amuzi zaidi ya vitatu aina tofauti tofauti,