Vifungu hivi vinaweza kumkaanga Mohamed Dewji 'Mo' huko FIFA

Mshana Jr

Platinum Member
Aug 19, 2012
269,633
697,790
Tuhuma za Mo mfanyabiashara mkubwa na mdhamini wa timu ya mpira ya Simba za kuingiza siasa kwenye michezo kwenye tukio la SIMBA DAY kwa kumfanyia kampeni mmojawapo wa wagombea urais Tanzania kama zikifikishwa FIFA basi mtu huyu anaweza kufungiwa kushiriki ama kujishughulisha na Michezo ya Kabumbu kwa muda fulani.

Vifungu vinavyoweza kumkaanga Mo hivi hapa


IMG_20200824_043026.jpg

IMG_20200824_042956.jpg
 
Umesema kweli. Tuangalie na hili. Nimeweka thread ili watu waone lakini inaondolewa.

Unaonaje ujumbe uliopo hapa. Inaweza kuwa nchi gani hii yenye agenda ya kuhodhi madaraka ya nchi kifalme? Ni nani hawa hasa ambao wameweka maazimio ya kumiliki madaraka vizazi vyao vyote?

 
Hakuna Kampeni ya Kisiasa iyopigwa na MO siku ya Simba Day.
Kumsifia Raisi kwa kufanikisha zoezi la uwekezaji wake ni jambo la heshima tu kwani bila Serikali kumruhusu MO asingewekeza Simba.
Hakuna mahali aliposema,
Chagua Magufuli.
Serikali ndio ilimruhusu mo na sio wanachama katika mkutano mkuu uliofanyika ukumbi wa Police mesi
 
Serikali ndio ilimruhusu mo na sio wanachama katika mkutano mkuu uliofanyika ukumbi wa Police mesi
Wanachama walimpendekeza tu, ila ruhusa ya kuwekeza Simba ilitolewa na Serikali, na Kumwamrisha achukue HISA asilimia 49 tu.
Yeye MO alitaka 51. Kumbuka uwekezaji wowote lazima upate ridhaa ya Serikali.
Kama Serikali ingekataa asinge wekeza MO Simba.
 
Wanachama walimpendekeza tu, ila ruhusa ya kuwekeza Simba ilitolewa na Serikali, na Kumwamrisha achukue HISA asilimia 49 tu.
Yeye MO alitaka 51. Kumbuka uwekezaji wowote lazima upate ridhaa ya Serikali.
Kama Serikali ingekataa asinge wekeza MO Simba.
Acha ujinga wewe
 
Wanachama walimpendekeza tu, ila ruhusa ya kuwekeza Simba ilitolewa na Serikali, na Kumwamrisha achukue HISA asilimia 49 tu.
Yeye MO alitaka 51. Kumbuka uwekezaji wowote lazima upate ridhaa ya Serikali.
Kama Serikali ingekataa asinge wekeza MO Simba.
Upumbavu kiwango cha lami.
 
Wanachama walimpendekeza tu, ila ruhusa ya kuwekeza Simba ilitolewa na Serikali, na Kumwamrisha achukue HISA asilimia 49 tu.
Yeye MO alitaka 51. Kumbuka uwekezaji wowote lazima upate ridhaa ya Serikali.
Kama Serikali ingekataa asinge wekeza MO Simba.
Daaaaaah mi mwenyewe simba, lakini we jamaa acha ujinga kiasi hicho. Simba ni Taasisi ya wanachama sio ya Serikali. Bila wanachama kupitisha serikali isingeweza kulazimisha iwe kwenye mfumo wa nchi.
Kinachofanyika ni kwa sababu tu saizi nchi haifuati sheria ila inaongozwa na akili za magu, Ko watu wenye kujikomba kwa mfalme Jpm ndo siku zote wanasifu tu hata kama hakustahili kusifiwa.
 
Hakuna Kampeni ya Kisiasa iyopigwa na MO siku ya Simba Day.
Kumsifia Raisi kwa kufanikisha zoezi la uwekezaji wake ni jambo la heshima tu kwani bila Serikali kumruhusu MO asingewekeza Simba.
Hakuna mahali aliposema,
Chagua Magufuli.
Hebu tusubiri tuone wanasheria watasemaje kwenye hili
 
Hebu tusubiri tuone wanasheria watasemaje kwenye hili
Nashangaa wenye hekima wanashindwa kuelewa hii kitu.
Uwekezaji wowote lazima upewe baraka na Serikali.
Hata Yanga fc, wakitaka kuwekeza iwe kampuni lazima ridhaa itoke Serikalini.
Hiyo kampuni wataisajiri wapi ?
Bila kufuata kanuni za usajiri ?
Na kuidhinishwa na nani ?

Ukereketwa mwngine unaondoa heshima ya mtu.
Tatizo humu kila anayeweza kuandika anaandika tu.
Na utastaajabu unazungumza na mtu anayejua kuandika na kuhesabu tu. Na anataka kubishana.
 
Back
Top Bottom