Vifungashio vilivyokwisha tumika vya plastiki na chupa vigeuze kuwa fursa (Tanzania Green Life)

Masalu Jacob

JF-Expert Member
Jul 26, 2017
948
1,092
Habari Tanzania !

Naomba kutoa ushauri, mawazo na mchango wangu kwa wale wote wapenda mazingira mazuri, afya ya mwili na maisha, ubora wa ardhi na maendeleo kwa taifa.

1. Vifungashio vya plastiki

Fursa hapa ni kuchakata vifungashio vya plastiki vilivyotumika kuwa bidhaa ambayo ni nzuri na rafiki kwa maisha na mazingira.

Mfano; unaweza tengeneza mtambo wa kuyeyusha hizo plastiki na ukatengeneza bidhaa mfanano wa matofali, paveti (urembo wa nyumba), vigae vya maofisini au majumbani mwishoe tutayaokoa mazingira yetu na kuyafanya kuwa bora zaidi.

2. Vifungashio vya chupa

Hapa kuna fursa lukuki. Chupa zikisagwa na kuwa unga unaweza zalisha udongo mzuri wa kupandia mimea au mazao mbalimbali na katika hizo chupa kuna kemikali mbolea nzuri sana na pia unaweza ukatengeneza matofali ambayo ni mazuri kwa ujenzi wa nyumba au ofisi.

Mwisho

Tuchukue fursa hii ili tuokoe mazingira yetu na nchi yetu. Tuipende Tanzania na watu wake.

Karibu.
 
Plastic is a design failure; we have to develop new materials. Until then, what’s the alternative? Recycling is the fix that we have now; it's the band-aid.
Brother; future is now not later. So keep this in your mind.
 
Those ideas due to solve and overcome environmental impacts are the best way to challenge our societies to focus on their environment protections as idea as perception.
Marvelous 👌

Sorry! Masalu, you are the one from Twitter bros?
 
Back
Top Bottom