INAUZWA Vifuatavyo vinauzwa, mmiliki anahamia nchi nyingine

Huyu ni mzungu kweli,mbona alikuwa rough sana
Mgeni kutoka Ubelgiji amevitumia chini ya miezi miwili na anaviuza kwasababu anahamia nchi nyingine.
1.Shelfu ya chuma- tsh100,000/=
2.Meza ya chuma ya jikoni-100,000/=
3.Mtungi wenye gesi kilo15(oryx)-100,000/=
4.Rice cooker (west point)-120,000/=
5.Mapazia6 na miti yake-80,000/=
6.Jiko la gesi (Ailyons)-120,000/=
7.Feni(High class)-70000/=
8.Kitanda(6*6) cha miti mgumu-600,000/=
9.Godoro(6*6) Tanfom-330,000/=
Maelewano yapo/punguzo kwa atakayechukua vitu kadhaa.Siku ya mwisho ni Alhamisi(27/01/2022)

Vitu vipo Kitunda,Kinyantira,kituo:Fundi Baiskeli-Dar es Salaam
Mawasiliano:0685381338

Muhimu:Mimi sio Dalali, ni mfanikishaji tu.

View attachment 2096362
View attachment 2096363
View attachment 2096364
View attachment 2096365
View attachment 2096366
View attachment 2096367
View attachment 2096369
 
Mkuu bidhaa ni kama zipo overpriced !!!

Kuhusu wazungu inategemea sio wote wana Lamborghini

1643146738286.png
 
JF imeshakuwa jukwaa la machokoraa na mabwege .

Yaan mtu kapost thread kwa nia njema tu, ili wanaohitaji wamfuate, lkn kuna mapuuzi yanaibuka From nowhere,kuanza kumchallenge kijana wawatu, hiv hiyo ni akili?

Kuna wengine humu mnajiita mnaakili timamu na wenye heshima lkn haya muyaoneshayo humu, si jambo zuri, kama huvutiwi na biashara ya mtu, si utulie tu ukae kimya, mbna nyuzi nyingi tu unaweza chagua unayotaka kuisoma?

Acheni kuharibia biashara za watu jamani hiyo michezo ya kijinga sana.

JF nowadays imevamiwa na wahuni wengine watoto wasiojua Nini maana ya maisha.

Jiheshimuni
 
JF imeshakuwa jukwaa la machokoraa na mabwege .

Yaan mtu kapost thread kwa nia njema tu, ili wanaohitaji wamfuate, lkn kuna mapuuzi yanaibuka From nowhere,kuanza kumchallenge kijana wawatu, hiv hiyo ni akili?

Kuna wengine humu mnajiita mnaakili timamu na wenye heshima lkn haya muyaoneshayo humu, si jambo zuri, kama huvutiwi na biashara ya mtu, si utulie tu ukae kimya, mbna nyuzi nyingi tu unaweza chagua unayotaka kuisoma?

Acheni kuharibia biashara za watu jamani hiyo michezo ya kijinga sana.

JF nowadays imevamiwa na wahuni wengine watoto wasiojua Nini maana ya maisha.

Jiheshimuni
Kanunue ww!
 
JF imeshakuwa jukwaa la machokoraa na mabwege .

Yaan mtu kapost thread kwa nia njema tu, ili wanaohitaji wamfuate, lkn kuna mapuuzi yanaibuka From nowhere,kuanza kumchallenge kijana wawatu, hiv hiyo ni akili?

Kuna wengine humu mnajiita mnaakili timamu na wenye heshima lkn haya muyaoneshayo humu, si jambo zuri, kama huvutiwi na biashara ya mtu, si utulie tu ukae kimya, mbna nyuzi nyingi tu unaweza chagua unayotaka kuisoma?

Acheni kuharibia biashara za watu jamani hiyo michezo ya kijinga sana.

JF nowadays imevamiwa na wahuni wengine watoto wasiojua Nini maana ya maisha.

Jiheshimuni
Issue bidhaa ni za kawaida sana used halafu zipo overpriced kuliko bei ya dukani.

Hayo mawili tu yanastaajabisha halafu kuna hili la Mzungu ndio alikua anavitumia πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Vitu bei kuliko dukani hahahahaha haya bana au dalali ndio kaweka chake cha juu?
 
Ila sisi wabongo tuna matatizo Sana.

Tunaacha issue ya muhimu ambayo ni biashara tunajadili yasiyotuhusu.

Watu wamekomaa as if uyo mzungu yeye sio binadamu? Kama mbogo anaweza kuishi uko kitunda why mzungu asiweze kuishi wakati wote sisi ni binadamu.

Unadhani kwa nini muuzaji kataja mzungu?

Kama lengo ni kuuza vitu tu, si angetangaza vitu pekee pasipo kutaja asili ya mmliki
 
Back
Top Bottom