Mama pretty
JF-Expert Member
- May 1, 2020
- 1,832
- 3,479
Hujambo?ππππππ
Hujambo?ππππππ
Mgeni kutoka Ubelgiji amevitumia chini ya miezi miwili na anaviuza kwasababu anahamia nchi nyingine.
1.Shelfu ya chuma- tsh100,000/=
2.Meza ya chuma ya jikoni-100,000/=
3.Mtungi wenye gesi kilo15(oryx)-100,000/=
4.Rice cooker (west point)-120,000/=
5.Mapazia6 na miti yake-80,000/=
6.Jiko la gesi (Ailyons)-120,000/=
7.Feni(High class)-70000/=
8.Kitanda(6*6) cha miti mgumu-600,000/=
9.Godoro(6*6) Tanfom-330,000/=
Maelewano yapo/punguzo kwa atakayechukua vitu kadhaa.Siku ya mwisho ni Alhamisi(27/01/2022)
Vitu vipo Kitunda,Kinyantira,kituo:Fundi Baiskeli-Dar es Salaam
Mawasiliano:0685381338
Muhimu:Mimi sio Dalali, ni mfanikishaji tu.
View attachment 2096362
View attachment 2096363
View attachment 2096364
View attachment 2096365
View attachment 2096366
View attachment 2096367
View attachment 2096369
Huyu anaruhusiwa kuishi hivi hukohukoMkuu bidhaa ni kama zipo overpriced !!!
Kuhusu wazungu inategemea sio wote wana Lamborghini
View attachment 2097674
Nimecheka sana na hii comment. Hata huyo mzungu mwenyewe kama naye anasoma hizi comments humu ndani ataamua tu akatupe jalalani vikorokoro vyake ajiondokee kimya kimya kama alivyokuja. Tunamtakia safari njema huyo mzungu sisi wana KitundaMtoa mada kautelekeza uzi wake katoka ndukiiiiiii
Hakuna mzungu anayeishi Kinyatira Kitunda. Hayo maeneo balozi yoyote ya nchi za Ulaya haiwezi kuruhusu raia wake kuishi. Huko ni kwa wakurya tu hata mpemba hawezi ishi
Kanunue ww!JF imeshakuwa jukwaa la machokoraa na mabwege .
Yaan mtu kapost thread kwa nia njema tu, ili wanaohitaji wamfuate, lkn kuna mapuuzi yanaibuka From nowhere,kuanza kumchallenge kijana wawatu, hiv hiyo ni akili?
Kuna wengine humu mnajiita mnaakili timamu na wenye heshima lkn haya muyaoneshayo humu, si jambo zuri, kama huvutiwi na biashara ya mtu, si utulie tu ukae kimya, mbna nyuzi nyingi tu unaweza chagua unayotaka kuisoma?
Acheni kuharibia biashara za watu jamani hiyo michezo ya kijinga sana.
JF nowadays imevamiwa na wahuni wengine watoto wasiojua Nini maana ya maisha.
Jiheshimuni
Issue bidhaa ni za kawaida sana used halafu zipo overpriced kuliko bei ya dukani.JF imeshakuwa jukwaa la machokoraa na mabwege .
Yaan mtu kapost thread kwa nia njema tu, ili wanaohitaji wamfuate, lkn kuna mapuuzi yanaibuka From nowhere,kuanza kumchallenge kijana wawatu, hiv hiyo ni akili?
Kuna wengine humu mnajiita mnaakili timamu na wenye heshima lkn haya muyaoneshayo humu, si jambo zuri, kama huvutiwi na biashara ya mtu, si utulie tu ukae kimya, mbna nyuzi nyingi tu unaweza chagua unayotaka kuisoma?
Acheni kuharibia biashara za watu jamani hiyo michezo ya kijinga sana.
JF nowadays imevamiwa na wahuni wengine watoto wasiojua Nini maana ya maisha.
Jiheshimuni
weka title: mzungu mwehu anauza makolokolo yake
Ila sisi wabongo tuna matatizo Sana.
Tunaacha issue ya muhimu ambayo ni biashara tunajadili yasiyotuhusu.
Watu wamekomaa as if uyo mzungu yeye sio binadamu? Kama mbogo anaweza kuishi uko kitunda why mzungu asiweze kuishi wakati wote sisi ni binadamu.
Hujaona kitu kitakachokufaa hapo jamani??Nacheka na comments tu mimi
Hhaahahh kwakweli hakuna hiyo hela unayotaka kuninunulia fanya uitume na ya kutoleaHujaona kitu kitakachokufaa hapo jamani??
aya bhana.Hhaahahh kwakweli hakuna hiyo hela unayotaka kuninunulia fanya uitume na ya kutolea