Vifo ya ghafla wajane/ wagane wanakutana na mambo mazito kwenye simu ya marehemu

IKIRIRI

JF-Expert Member
Jan 14, 2018
2,734
3,017
Mara baada ya kifo simu zinakuwa chini ya mgane au mjane.

Kwa kipindi hiko baada ya kifo baadhi ya michepuko wanakuwa hawana taarifa ya kifo.

Hapo ndipo maumivu yanazidi because anagundua madudu ya mwenzi wake.

Hii imetokea kwa jirani yangu anadai uchungu wote umeisha baada ya kugundua usaliti wa hali ya juu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mara baada ya kifo simu zinakuwa chini ya mgane au mjane.

Kwa kipindi hiko baada ya kifo baadhi ya michepuko wanakuwa hawana taarifa ya kifo.

Hapo ndipo maumivu yanazidi because anagundua madudu ya mwenzi wake.

Hii imetokea kwa jirani yangu anadai uchungu wote umeisha baada ya kugundua usaliti wa hali ya juu.

Sent using Jamii Forums mobile app



Jirani yako ni mgane au mjane???tuanzie hapo kwanza mengine yatafuata
 
Back
Top Bottom