Vifo vyatunyemelea matumiaji wa simu.

Sitachoka

JF-Expert Member
Nov 17, 2011
3,030
1,303
TAHADHARI KWA WATUMIAJI SIMU
ZA MKONONI:
Simu zinatumia Mionzi ya
MICROWAVE ambayo huwezesha
kuunganisha simu yako kwenda
kwenye Mnara na mnara
huunganisha Simu yako na
Mitambo
ya Mtandao wako ambapo pia
Hurudishwa kwenye mnara hadi
kwa
mtu Unaye mpigia. Microwave
ndio
njia kuu ya muunganisho huo.
Lakini
kunamdhara mengi mtu huyapata
kutokana na kuwa karibu na
Mionzi
hiyo ambayo hadi sasa bado
haijafahamika ni kwa kiasi Gani.
Uchunguzi umeonyesha kuwa
kuna
madhara mengi ya kiafya
tunayapata
kutokana na Matumizi ya simu.
mfano wa magonjwa hayo ni
1. KUUMWA KICHWA MARA KWA
MARA
2. PRESSURE YA KUPANDA NA
KUSHUKA
3. UVIMBE KWENYE UBONGO
4. KANSA
5. ALZHEIMER
6. NA MENGINE MENGI
Hatuwezi kujizuia kutumia simu
na
Hatuwezi kuzuia hiyo mionzi ya
MICROWAVE sababu ni sehemu ya
shughuri zetu za kila siku ila
tunaweza KUPUNGUZA. hapa
nawaletea Njia chache za
kupunguza
Mionzi ya MICROWAVE isituletee
matatizo makubwa zaidi.
1. Punguza matumizi yasio lazima
ya simu.Mfano Ongea mda mfupi
kwa kutumia simu sio muda
mrefu uweunaongea, Uchunguzi
umeonyesha kuwa ukiongea kwa
DAKIKA mbili haileti madhara,
(Alter natural electricity of the
Brain)
2. Watoto wasiruhusiwe kutumia
Simu bali pale tu inapobidi.
3. Usitumie Earphone za wire,
Tumia
za wireless mfano za bluetooth. za
wire zinaongeza wingi wa mionzi
sababu pia zinatumika kama
antena ya simu,
4. Usiweke simu kwenye Mfuko
wa
suruari au shati au
kiunoni,sehemu za mwili
zinapitisha mionzi vizuri zaidi
sababu pia ni njia ya neva za
ubongo na chini ya mwili.
5.Usitumie simu kwenye chumba
kidogo au lift au gari. Sababu
Simu itatumia nguvu nyingi
kuvuta mionzi ili kuwezesha
mawasiliano.
6. Ukipiga simu subiri hadi mtu
apokee ndipo uweke sikioni
kusikiliza na sio wakati ina
connect.
7. Usipige simu kama network ipo
chini au signal inaonyesha bar
moja au ndogo, simu itavuta
mionzi zaidi ili kufanya
mawasiliano
8. Ukinunua simu hakikisha
unasoma kama ina LOW SAR
(Specific Absorbtion Rate) Ni
kipimo cha kupokea mionzi ya
simu.Za nokia zinazo ila za
Kichina HAZINA.
9. Tumia vifaa vya kupunguza
Mionzi vinapatikana madukani
(vinawakawaka taa hivi)
10.Weka simu atleast 3.4 inches
kutoka kwenye sikio
11. Jitahidi kutumia headphones
muda
wote unapotumia simu
12. Tumia speaker
phone."Loudspeaker "
13. Text zaidi kuliko kupiga simu .
14. Jitahidi usitumie muda
mwingi
kwenye simu kama umeiweka
kwenye
sikio
15. Jitahid kuiweka mbali na
reproduction
organs zako hasa kwa wanaume
ambao hatujapata watoto.
16. La mwisho kula vizuri
ilikuongeza
kinga ya mwili
 
Dah, nadhani madhara yake ni madogo kuliko uliyoyataja.
 
namba 4 wanawake ndo watapona kwani huweka cmu kwa vipimajoto
namba 7 nadhani inamadhara ya papo kwa papo kwani hata ulul ("i am just under 18") alikuwa
anapiga wakati signo ipo weak ndo mana wenzake akapoteza network kirahisi
 
[h=1]Mobile phones: 'Still no evidence of harm to health'[/h]
There is still no evidence mobile phones harm human health, says a major safety review for the UK's Health Protection Agency (HPA).
Scientists looked at hundreds of studies of mobile exposure and found no conclusive links to cancer risk, brain function or infertility.
However, they said monitoring should continue because little was known about long-term effects.
The HPA said children should still avoid excessive use of mobiles.
It is the biggest ever review of the evidence surrounding the safety of mobile phones.
There are now an estimated 80 million mobiles in the UK, and because of TV and radio broadcasting, Wi-Fi, and other technological developments, the study said exposure to low-level radio frequency fields was almost universal and continuous.
A group of experts working for the HPA looked at all significant research into the effects of low-level radio frequency.
'Relatively reassuring' They concluded that people who were not exposed above UK guideline levels did not experience any detectable symptoms.
That included people who reported being sensitive to radio frequency.
They also said there was no evidence that exposure caused brain tumours, other types of cancer, or harm to fertility or cardiovascular health.
But they said very little was known about risks beyond 15 years, because most people did not use mobile phones until the late 1990s.
Prof Anthony Swerdlow, who chaired the review group, said it was important to continue monitoring research.
"Even though it's relatively reassuring, I also think it's important that we keep an eye on the rates of brain tumours and other cancers," he said.
"One can't know what the long-term consequences are of something that has been around for only a short period."
There has been speculation about the health effects of using mobile phones for years.
The HPA conducted a previous review in 2003, which also concluded that there was no evidence of harm. But there is now far more research into the subject.
Advice on children
The experts said more work was needed on the effect of radio frequency fields on brain activity, and on the possible association with behavioural problems in children.
They also called for more investigation into the effects of new technology which emits radio frequency, such as smart meters in homes and airport security scanners.
The HPA said it was not changing its advice about mobile phone use by children.
"As this is a relatively new technology, the HPA will continue to advise a precautionary approach," said Dr John Cooper, director of the HPA's centre for radiation, chemical and environmental hazards.
"The HPA recommends that excessive use of mobile phones by children should be discouraged."
bbc
 
Ssa tumwamini yupi? Mleta mada au huo utafiti uliandikwa na BBC?
 
Back
Top Bottom