neggirl
JF-Expert Member
- Jul 30, 2009
- 4,843
- 2,117
wadau nimekuwa nikiguswa sana na vifo vya watoto wachanga wenye umri kati ya siku moja hadi miezi sita, naona pia kama vifo hivi vinazidi kuongezeka. Kila wakati ukiwa na ndugu au rafiki mjamzito akijifungua mtoto akipona ni mara chache sana. Tatizo liko wapi na nini kifanyike?