Migogoro mingi ya ndoa ukipitia majarada ya kipolisi na dawati la jinsia utagundua kwamba kwa 70% ni kutokana na ndoa za kikristu na 15% ni ndoa za kiislam, 10% ni ndoa za kimila (unyumba na wengi wao waishio kinyumba ni wakristu) na 5% inachangiwa na ndugu wa wanandoa wenyewe
Hivyo ukichukua ile 70% na ile 10% ya ndoa za kimila za wakristu utaona karibia 80% ya ndoa zenye migogoro ni za wakristo!
Katika kuondoa tatizo hili serikali iruhusu utaratibu rahisi wa kuachana na kuoana kama ilivyo kwa waislam!
Haina maana itaingilia maandiko matakatifu la hasha cha mhimu nikuwaondolea cheti mkononi halafu
Maandiko wabaki wabaki nayo wahusika kwa imani zao lakini serikali ifanye upande wake!
After all cheti cha ndoa hutolewa na serikali ili wachungaji na wanandoa wasaini! Hivyo endapo wanandoa wamechokana. Waachane hata serikali ya mtaa!
Serikali iruhusu kufutwa ndoa hizo kisheria kwa utaratibu rahisi hata kupitia wakili au baraza la serikali ya mtaa.
Kuwepo na fomu katika ngazi ya mtaa inayoruhusu watu kuachana! Na ndoa hiyo kisheria isomeke imefutwa!
Nasema hivyo kwasababu migogoro mingi ya ndoa za kikristo wengi wameachana kimwili lakini hubaki kuwindana kufumaniana kutokana na kile kicheti cha ndoa ambacho huwa kina mlolongo mrefu sana hadi kufikia divorce!
Turuhusu watu waoane hata kwa wakili na waachane hata wakili!
Tutakuja kujua baadae kwamba tumechelewa!
Tabia za watu zimekuwa ngumu!
Sheria ya ndoa imepitwa na wakati!
Vichaa, vilema na mauaji mengi sana yanachangiwa na migogoro ya ndoa!
Serikali ifanye jambo kutokomeza
Hivyo ukichukua ile 70% na ile 10% ya ndoa za kimila za wakristu utaona karibia 80% ya ndoa zenye migogoro ni za wakristo!
Katika kuondoa tatizo hili serikali iruhusu utaratibu rahisi wa kuachana na kuoana kama ilivyo kwa waislam!
Haina maana itaingilia maandiko matakatifu la hasha cha mhimu nikuwaondolea cheti mkononi halafu
Maandiko wabaki wabaki nayo wahusika kwa imani zao lakini serikali ifanye upande wake!
After all cheti cha ndoa hutolewa na serikali ili wachungaji na wanandoa wasaini! Hivyo endapo wanandoa wamechokana. Waachane hata serikali ya mtaa!
Serikali iruhusu kufutwa ndoa hizo kisheria kwa utaratibu rahisi hata kupitia wakili au baraza la serikali ya mtaa.
Kuwepo na fomu katika ngazi ya mtaa inayoruhusu watu kuachana! Na ndoa hiyo kisheria isomeke imefutwa!
Nasema hivyo kwasababu migogoro mingi ya ndoa za kikristo wengi wameachana kimwili lakini hubaki kuwindana kufumaniana kutokana na kile kicheti cha ndoa ambacho huwa kina mlolongo mrefu sana hadi kufikia divorce!
Turuhusu watu waoane hata kwa wakili na waachane hata wakili!
Tutakuja kujua baadae kwamba tumechelewa!
Tabia za watu zimekuwa ngumu!
Sheria ya ndoa imepitwa na wakati!
Vichaa, vilema na mauaji mengi sana yanachangiwa na migogoro ya ndoa!
Serikali ifanye jambo kutokomeza