bahati30
JF-Expert Member
- Oct 15, 2012
- 1,625
- 879
Kaka hizo bei unazosema kwa usawa huu utakesha, hakuna mtu atanunua kwa bei hizoHujui thamani yake ndio maana unaongea pumba..ndio maana kuna mbuzi na kuku. Kwanini unanunua Bata Bukini laki 3 paka laki 4 kwa pear? Na Bata maji ni 40,000 kwa pear?