jogi
JF-Expert Member
- Sep 25, 2010
- 25,558
- 25,322
Tumeshuhudia vifaranga kutoka kenya wakiteketezwa kwa kuchomwa moto kwa amri ya mamlaka za serikali ya tanzania!
Tumepewa sababu ikiwemo kuzuia uwezekano wa maambukizi ya magonjwa ya mifugo na ndege kuvuka mipaka ya nchi moja kwenda nchi nyingine, tukaambiwa na sheria ipo inayosimamia utaratibu huu.
Tunajiuliza kama kwa vifaranga tuliogopa mafua ya ndege n.k ilikuwaje tukasahau ugonjwa hatari sana wa SOTOKA na homa ya mapafu kwa ng'ombe?
Imekuwaje wenye mamlaka serikalini this time hawakusoma zile sheria na kanuni walizozisoma kwenye sakata la vifaranga wa kuku?
Je ni halali kwao kutuchagulia aina ya hatari inayopaswa kuingia nchini? Hawakupaswa kutuhakikishia usalama?
Tumepewa sababu ikiwemo kuzuia uwezekano wa maambukizi ya magonjwa ya mifugo na ndege kuvuka mipaka ya nchi moja kwenda nchi nyingine, tukaambiwa na sheria ipo inayosimamia utaratibu huu.
Tunajiuliza kama kwa vifaranga tuliogopa mafua ya ndege n.k ilikuwaje tukasahau ugonjwa hatari sana wa SOTOKA na homa ya mapafu kwa ng'ombe?
Imekuwaje wenye mamlaka serikalini this time hawakusoma zile sheria na kanuni walizozisoma kwenye sakata la vifaranga wa kuku?
Je ni halali kwao kutuchagulia aina ya hatari inayopaswa kuingia nchini? Hawakupaswa kutuhakikishia usalama?