Vifahamu viwanja vilivyoandaliwa na Urusi kwa ajili ya World Cup 2018. Tutafika kweli?

1 / 12

ddd924d3e1c311601f59cbd8e8726059.jpg


Luzhniki Stadium

2 / 12

8660548ee80e2d48cc69fafb899a501c.jpg


Spartak Stadium

3 / 12

cbb7ffccf6bb402a21ee92edbdb5da56.jpg


Krestovsky Stadium

4 / 12

5787c5efaa1a04320b16dba1cf775fb4.jpg


Fisht Olympic Stadium

5 / 12

2e6e98f5d8e70f241f662637c0225308.jpg


Kazan Arena

6 / 12

731696c07cfef99a46d53710120cc0b0.jpg


Yekaterinburg Stadium

7 / 12

44ab599d89aa8c911eb703145bdc73a8.jpg


Nizhny Novgorod Stadium

8 / 12

4f16e1cbab381571bf861a0694234754.jpg


Cosmos Arena

9 / 12

9b2827fe8fa36682ead5ed21e9dd31cc.jpg


Rostov Arena

10 / 12

344cac55bd73bb81f32bc4c03b2675aa.jpg


Kaliningrad Stadium

11 / 12

825a5fa5e100a91eb7cb2811af6d1ef9.jpg


Mordovia Stadium

12 / 12

73a04aa8c1f70861a478515d353413ec.jpg


Volgograd Arena
Kwan tunaend wap mpk usem ttafka kwel
 
Hiz nch ni tajir sana,hvyo viwanja kwao ni sawa na kujenga nyumba tuu bongo,ni sawa na ushangae bakhresa ajenge nyumba.bongo hatuwez fika hyo level labda miaka 900 itapendeza
Huo ndo utetezi wetu mkubwa.
Sisi masikinii
Wao matajiri.
Sawa je mmetafuta wawekezaji wawekeze kwenye viwanja? Au unafikiri viwanja vyote hivyo ni vya serikali!?
 
Dah! Ulaya ulaya tu aisee. Bongo bahati mbaya
Nliskia kuna mpango wa Afrika Mashariki kuomba kuandaa World Cup 2030. Sijui itakuwaje yaani haha. Ukiachana hata na viwanja, kuna hoteli zetu substandard, mifumo ya usafiri substandard, umeme substandard yaani kila kitu ni chini ya viwango!
 
Mleta mada ungetaja na miji viwanja vilipo. Unajua baadhi ya miji ya Russia watu wengi hatuijui zaidi ya Moscow St Petersburg na sochi. Ungeweka jina la kiwanja unataja na mji kilipo.

Kuna taarifa england watasafiri zaidi ya km 9800 wakiwa kwenye mashindano hayo.
 
Huo ndo utetezi wetu mkubwa.
Sisi masikinii
Wao matajiri.
Sawa je mmetafuta wawekezaji wawekeze kwenye viwanja? Au unafikiri viwanja vyote hivyo ni vya serikali!?
Uwekeze mabilion kwa turn out gan,waty wenyew wapenda mipira wanategemea kuingia uwanjan bure,..viingilio vya buk 5 ndo virudishe hzo gharama za ujenz,haiwezekan,.tuendelee kuona vya wenzetu tuu,waafrica hatutak kubal kua tuko nyuma ya hawa jamaa miaka 600,lets do kilimo,na mambo basic,hayo mengne ya intertainment bado hatujafika huko
 
ISIS waende kwa Putin wakione cha moto.

Anapiga wavamizi na nchi yao yote.
 
Ni vizuri, ila vya Qatar ni funika ya vyote...! Wale waarabu aisee hawafai kabisa
 
Back
Top Bottom