Mwanamayu JF-Expert Member May 7, 2010 11,342 6,468 May 14, 2010 #1 Hivi tatizo nini kwamba karatasi za kupigia kura bado? Au mpaka wajue idadi ya wapiga kura? Zinazobaki bila kutumika inakuwaje?
Hivi tatizo nini kwamba karatasi za kupigia kura bado? Au mpaka wajue idadi ya wapiga kura? Zinazobaki bila kutumika inakuwaje?
Genekai R I P Feb 9, 2010 12,517 4,987 May 14, 2010 #2 Hadi uteuzi wa wapigiwa kura utimie mkubwa ndo waweze kuzitoa!
Mwanamayu JF-Expert Member May 7, 2010 11,342 6,468 May 14, 2010 Thread starter #3 Yawezekana upigaji kura kuanza baada tu ya uteuzi wa wagombea hasa Julai?
Genekai R I P Feb 9, 2010 12,517 4,987 May 14, 2010 #4 Mwanamayu said: Yawezekana upigaji kura kuanza baada tu ya uteuzi wa wagombea hasa Julai? Click to expand... Nilimaanisha uteuzi wa wagombea mkubwa!
Mwanamayu said: Yawezekana upigaji kura kuanza baada tu ya uteuzi wa wagombea hasa Julai? Click to expand... Nilimaanisha uteuzi wa wagombea mkubwa!
Mwanamayu JF-Expert Member May 7, 2010 11,342 6,468 May 18, 2010 Thread starter #5 Ina maana nyingine zitatolewa na majina kabisa? Kama wewe huko NEC tusaidie!
M MJM JF-Expert Member Mar 30, 2010 461 51 May 18, 2010 #6 Mwanamayu said: Ina maana nyingine zitatolewa na majina kabisa? Kama wewe huko NEC tusaidie! Click to expand... Inamaana haujawahi kupiga kura? Unapopiga kura lazima kuwe na wagombea kwenye karatasi not otherwise.
Mwanamayu said: Ina maana nyingine zitatolewa na majina kabisa? Kama wewe huko NEC tusaidie! Click to expand... Inamaana haujawahi kupiga kura? Unapopiga kura lazima kuwe na wagombea kwenye karatasi not otherwise.
Msanii Platinum Member Jul 4, 2007 22,556 29,639 May 18, 2010 #7 hehehehe hoja butu hii. utachapishaje karatasi za kura ilhali hakuna aliyependekezwa ama kuomba kuchaguliwa?
hehehehe hoja butu hii. utachapishaje karatasi za kura ilhali hakuna aliyependekezwa ama kuomba kuchaguliwa?
Injinia JF-Expert Member Feb 26, 2008 849 26 May 18, 2010 #8 Nadhani Mwanamayu alikuwa anajisikia tu kulalamika kuhusu kitu.
M mageuzi1992 JF-Expert Member Apr 9, 2010 2,503 252 May 18, 2010 #9 Hoja hapa sijaipata vizuri ila kuna kamchezo hapo!
M mageuzi1992 JF-Expert Member Apr 9, 2010 2,503 252 May 18, 2010 #10 Mimi navyofikiri mambo mengi yanatakiwa yawe tayari on desk. Kuwe na kumalizia yale yanayohitaji kwa mfano mpaka wagombea wawe wameidhinishwa!
Mimi navyofikiri mambo mengi yanatakiwa yawe tayari on desk. Kuwe na kumalizia yale yanayohitaji kwa mfano mpaka wagombea wawe wameidhinishwa!