Vifaa vya shule vya makontena 16 yaliyotolewa kati ya 36 viligawiwa shule zipi?

Ukiangalia hata aina ya hivyo vifaa ni shule gani ya serikali inatumia vifaa vya anasa hivyo? Kwanini wasitume pesa vifaa vinunuliwe Tz?

Sent using Jamii Forums mobile app
mbona viti vyenyewe kama vya secretary wa boss wetu

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata walimu nao wanataka kuzunguka kwenye viti vyao wakati wakifundisha.

KC-99-Teacher-Stool-2.jpg
 
Kuna kitu kilichojificha nyuma ya pazia, waziri kumkomalia kiongozi mwenzake alipe kodi anajua mchezo wote, time will tell!
 
Taarifa zinasema Makonda aliingiza makontena 36, kati ya hayo 16 yalishatolewa yakabaki 20 bandarini.

Kama kweli yalikuwa na vifaa vya shule, ni shule zipi za Dar es salaam ambazo tayari zimeshapata mgawo wa vifaa hivyo kutoka kwa yale makontena 16 aliyotoa mwanzo.

Kwa anavyopenda kamera lazima habari za kugawa zingetangazwa na vyombo vya habari, labda mimi sikusikia, kwa aliye na taarifa, picha au clip ikionyesha Makonda akikabidhi vifaa hivyo atuwekee hapa.

Watetezi wake mnakaribishwa.

View attachment 850654

View attachment 850655
BL inasemaje? jumla ya makontena ni 20 au 36?
 
"Hakuna mtu mwingine aliyepewa dhamana hiyo. Ukichukua makontena umezungumza na watu wengine au wafanyabiashara unasema una makontena yako halafu ukasema ni ya walimu hata shule hazitajwi". John Pombe Magufuli.
 
GSM MABWEPANDE PRIMARY SCHOOL NA MLIMANI CITY SHOPPING SECONDARY SCHOOL.
Swali jingine tafadhari!!
 
Taarifa zinasema Makonda aliingiza makontena 36, kati ya hayo 16 yalishatolewa yakabaki 20 bandarini.

Kama kweli yalikuwa na vifaa vya shule, ni shule zipi za Dar es salaam ambazo tayari zimeshapata mgawo wa vifaa hivyo kutoka kwa yale makontena 16 aliyotoa mwanzo.

Kwa anavyopenda kamera lazima habari za kugawa zingetangazwa na vyombo vya habari, labda mimi sikusikia, kwa aliye na taarifa, picha au clip ikionyesha Makonda akikabidhi vifaa hivyo atuwekee hapa.

Watetezi wake mnakaribishwa.

View attachment 850654

View attachment 850655
Heeeee yalikuwa makontena 36:oops::oops::oops::oops: sio 20 kama tujuavyo. Kweli nchii hii. haya bana ndo wakati wao
 
Makontena yapo 36 lkn ambayo yameshafika ni 20 bado makontena 16. Me nilielewa hivyoo!! Lkn ktk hili sakata lipo jambo muhimu sana linaachwa,hivi kweli hizi samani zimetolewa na diaspora!?? Na makonda aliandika lini hiyo proposal ya kuomba huo msaada!?? Je! Watendaji ktk ofisi yake nao wanafahamu kuhusu hilo!??
Big up Mkuu una hoja fikirishi sana, kuna maswali mengi ya kujiulizia ndani ya kitu hiki, kama kungekuwa na usawa investigation ingefanyika kila kitu kingekuwa wazi.
 
Back
Top Bottom