Wakubwa ,nataka nianzishe ka mradi ka matofali.naombeni mnijuze vifaa vifuatavyo vinapatikana wapi pamoja na bei elekezi.
1.mashine ya kufyatulia tofali(two in one) ya umeme
2.mashine ya kuchanganyia udongo(ya umeme or motor)
naombeni mnifahamishe ili niweze kutengeneza makadirio pamoja na kununua.
1.mashine ya kufyatulia tofali(two in one) ya umeme
2.mashine ya kuchanganyia udongo(ya umeme or motor)
naombeni mnifahamishe ili niweze kutengeneza makadirio pamoja na kununua.