No_Worries
Member
- Sep 27, 2016
- 69
- 23
Wakuu,
Tafadhali kama unajua vifaa kwa ajili ya ku-graft miti michanga ya maembe/parachichi vinapatikana wapi hata nchini Tanzania basi fanya uungwana wa kunitaarifu.
Nimekuwa nikisoma/ kuangalia mtandaoni namna ya ku-graft nimeona kuwa ni kazi ninayoweza kuifanya mwenyewe na kupata miti kadhaa kwa ajili ya matunda, shida sijui vile visu vya grafting, pruning shears na tapes kwa ajili ya kuzungushia zinauzwa wapi! Ama ni vifaa gani mbadala huwa vinatumika?
Tafadhali kama unajua vifaa kwa ajili ya ku-graft miti michanga ya maembe/parachichi vinapatikana wapi hata nchini Tanzania basi fanya uungwana wa kunitaarifu.
Nimekuwa nikisoma/ kuangalia mtandaoni namna ya ku-graft nimeona kuwa ni kazi ninayoweza kuifanya mwenyewe na kupata miti kadhaa kwa ajili ya matunda, shida sijui vile visu vya grafting, pruning shears na tapes kwa ajili ya kuzungushia zinauzwa wapi! Ama ni vifaa gani mbadala huwa vinatumika?