Msaada tutani,
Napenda kazi ya kupiga picha. Je, ni vifaa gani muhimu natakiwa kuwa navyo kwa kuanza?
Je, nitumie camera aina gani yenye specification zipi ili niweze pata picha nzuri, nimeshawahi fanya kazi hii nilipokua shule nilitumia digital camera (sony)..
Kwasasa nataka niboreshe zaidi. Kuna maslahi kwenye hii kazi. msaada wenu tafadhali
Napenda kazi ya kupiga picha. Je, ni vifaa gani muhimu natakiwa kuwa navyo kwa kuanza?
Je, nitumie camera aina gani yenye specification zipi ili niweze pata picha nzuri, nimeshawahi fanya kazi hii nilipokua shule nilitumia digital camera (sony)..
Kwasasa nataka niboreshe zaidi. Kuna maslahi kwenye hii kazi. msaada wenu tafadhali